Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naona safari hii mambo mazuri, hadi nauli mtarudishiwa. Dalili nzuri hii kwa jeshi letu. Haya tulizoea kuyqona kwa JWTZ. Na wamefanya vizur bora kwenda direct Moshi moja kwq moja sio kuzunguka Dodoma then Moshi
Kama watarudishiwa hiyo hela ya nauli tutaona,mi nimekaa pale...
 
Ningekuwepo kwenye bogi hata wangesema tukutania kigoma then ndo tuje Moshi mm ningetii amri tu Kwan nauli ni nn... Havina maana Kwa Sasa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni ukweli mtupu hata wangesema Twende Kenya turudi dar then Moshi tungeenda kikubwa upo kwenye bogi ……. Ila tuliokosa tunaumia sana yan bas tu mioyo yetu ina maumivu [emoji3064]
 
Mzee wa konekisheni
 
Jamani wanajukwaa nasika tpdf washanza kuita watu kwa simu Je ni kweli? Kama ni kweli Kama yupo ambae amepigiwa simu humu alete tafadhali tunaomba ushuhuda wa Hilo ndugu wasakatonge wenzangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…