Naona Basi kubwa 3 hapa zimebeba vijana kutoka Chita nadhani hawa wanaelekea Msata sijui[emoji599][emoji390]
Wanaingia tu kuna kitoto cha brig jirani yetu kilienda after six week na kikatoboa rts 😀😀Pindi nilipokua JKT mujib kuna wadau walikua wanaingia katikati ya six week na wanapokelewa , sema kwa RTS hii haikubaliki
kuwa na subra na uwe umejipanga nje ndani, safarii hii tena nimewakosa padogo, nafukuzia safari ijayo. japo nina imani nitapata UTUMISHI. vyombo vya ulinzi hakunaga bahati mbaya ni mwendo wa maelekezo kutoka juu, jipange tafuta network /mbanga iliyo kwenye system itakubeba. kwa uzoefu wangu MOHA mikeka yao huwa inatoka mwisho na mwanzoni mwa mwka hapa tegemea November -january 2023. lazima waje tenaKwa aliesikia Naomb jibu wakuu
Lipo ila mwishoni na litachukua watu wengiHivi jaman kuna lonja yeyote ya majeshi ya wizara ya ndani kuja tena mwakan tuanze kutafuta mbanga
Jamaa wa ikulu vp JW kinaendelea nini?Lipo ila mwishoni na litachukua watu wengi
Anza kutafuta mbanga kwa kujipendekeza kwa wanene (usiuze utu lkn)
Kama ni mkristo kuwa karibu na kwaya za wazee maana wastafu wengi wa vyombo vya ulinzi hupendelea saana kuwa wanakwaya hasa wakistaafu
Kikubwa nidhamu
Jamaa wa ikulu vp JW kinaendelea nini?
Kozi mwezi huu inapigwa kama ndo hvyo vp na wewe umepigiwa nini?Wajuba washapigiwa sim na wanaripot tar 4
Movie gani hii?Connection ambazo sio za ndugu haziji kibahati mbaya tu ila zinajengwa kwa nidhamu
Kuna dogo mwaka 2020 alikuwa ni fundi rangi (alikuwa anafundishwa na kaka yake baada ya kumaliza form six)
Katika harakati zao za upakaji rangi wakajuana na mibanga mbalimbali like mameneja wa Tigo,voda,tanesco,tbs nk
Wakajuana na mibanga wengine wa jwtz polisi tanapa nmb nk
Sasa juzi nikampigia simu kaka yake na huyo dogo nilitaka amwambie dogo aje anipakie rangi dinning room (huwa nampenda aje huyo dogo sababu yupo very humble)
Kaka yake akanijibu kuwa "DOGO ALIPATA CONNECTION NOW YUPO NCHI MOJA WAPO YA middle east ANACHUKUA KOZI YA cyber security......na NYOTA YA PILI...."
In short young man alipata connection kwa kupitia wateja wao wa kazi zao za ufundi nidhamu yake ikambeba nadhani atakuwa na 23 years now
Nitarudi kusema......
Kozi mwezi huu inapigwa kama ndo hvyo vp na wewe umepigiwa nini?
Miaka miwili??vigezoo mzee hasa cha miaka mi2 kimepiga watu weng chin hata kama uwe na mbanga
lazima uwe umepita Jkt miaka 2 au upo kambini tofaut na hapo unatoka kwenye kinyang’anyiro
Ahaa sawaMujib OUT
wanaripoti wapi hao tar 4Wajuba washapigiwa sim na wanaripot tar 4
Ni tarehe 10 wanaripoti msata.wanaripoti wapi hao tar 4
hao ni wa message waliopiganisha ndio wanaenda kuripoti msata kujazilishia mana wapo tayari 2500+,waliotuma maombi ni bogi lingine tofauti bado hawajaanza kuitaNi tarehe 10 wanaripoti msata.