Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hivi jaman kuna lonja yeyote ya majeshi ya wizara ya ndani kuja tena mwakan tuanze kutafuta mbanga
 
Kwa aliesikia Naomb jibu wakuu
kuwa na subra na uwe umejipanga nje ndani, safarii hii tena nimewakosa padogo, nafukuzia safari ijayo. japo nina imani nitapata UTUMISHI. vyombo vya ulinzi hakunaga bahati mbaya ni mwendo wa maelekezo kutoka juu, jipange tafuta network /mbanga iliyo kwenye system itakubeba. kwa uzoefu wangu MOHA mikeka yao huwa inatoka mwisho na mwanzoni mwa mwka hapa tegemea November -january 2023. lazima waje tena
 
Hivi jaman kuna lonja yeyote ya majeshi ya wizara ya ndani kuja tena mwakan tuanze kutafuta mbanga
Lipo ila mwishoni na litachukua watu wengi
Anza kutafuta mbanga kwa kujipendekeza kwa wanene (usiuze utu lkn)
Kama ni mkristo kuwa karibu na kwaya za wazee maana wastafu wengi wa vyombo vya ulinzi hupendelea saana kuwa wanakwaya hasa wakistaafu
Kikubwa nidhamu
 
Jamaa wa ikulu vp JW kinaendelea nini?
 
Movie gani hii?
 
lazima uwe umepita Jkt miaka 2 au upo kambini tofaut na hapo unatoka kwenye kinyang’anyiro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…