southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
maana kuna mabogi mawili tofauti ujuekiukwel sijajuw
Mabogi mawili kiaje mkali?maana kuna mabogi mawili tofauti ujue
Ndiohao ni wa message waliopiganisha ndio wanaenda kuripoti msata kujazilishia mana wapo tayari 2500+,waliotuma maombi ni bogi lingine tofauti bado hawajaanza kuita
kule msata ni bogi maalum wale waasi na wakaongezewa na lile bogi la madktari wenye diploma,sahiz hao wano kwnda ni op samia ambao walifanya isahili vikosini na wengine ambao ndo wamepigiwa simu waende wala sio zile waliotangazaMabogi mawili kiaje mkali?
Jamani wanajukwaa nasika tpdf washanza kuita watu kwa simu Je ni kweli? Kama ni kweli Kama yupo ambae amepigiwa simu humu alete tafadhali tunaomba ushuhuda wa Hilo ndugu wasakatonge wenzangu.
Pressure mood activated... Huu ndo wakati ambao unakaa na simu mara kapiga tapeli anasema
"Unaongea na mhudumu kutoka tigo"
Unaweza ukamshambulia matusi aise
Ahaa kumbe walizotangaza bado hawaendakule msata ni bogi maalum wale waasi na wakaongezewa na lile bogi la madktari wenye diploma,sahiz hao wano kwnda ni op samia ambao walifanya isahili vikosini na wengine ambao ndo wamepigiwa simu waende wala sio zile waliotangaza
kama una vigezo we sikilizia tuuAhaa kumbe walizotangaza bado hawaenda
Sina vigezo mujibu wa sheria mimi naulizia tu kuna manzi yangu anavyovigezo vyote na kaapply ila info kama hizi ndo hapatikama una vigezo we sikilizia tuu
WatakujaHivi jaman kuna lonja yeyote ya majeshi ya wizara ya ndani kuja tena mwakan tuanze kutafuta mbanga
Ushauri tuSina vigezo mujibu wa sheria mimi naulizia tu kuna manzi yangu anavyovigezo vyote na kaapply ila info kama hizi ndo hapati
Noted kakaUshauri tu
Kama huyo demu wako akienda huko(kozi) time za kozi mjari kwa vijisenti kadrii ya uwezo wako na akimaliza kozi isisex nae bila kupima ukimwi
labda ampe mimba sasa hv..bila hvyo sio wake tena 😅Ushauri tu
Kama huyo demu wako akienda huko(kozi) time za kozi mjari kwa vijisenti kadrii ya uwezo wako na akimaliza kozi isisex nae bila kupima ukimwi
[emoji16][emoji16][emoji16]mimba ata nimshikie bunduki hawezi beba maana akibeba ndo future yake nshahariblabda ampe mimba sasa hv..bila hvyo sio wake tena [emoji28]
Tafta mwanamke mwingine chief[emoji16][emoji16][emoji16]mimba ata nimshikie bunduki hawezi beba maana akibeba ndo future yake nshaharib
Miaka kadhaa hapo nyuma niliwahi kuwa na dem hadi tukatambulishana vijisenti nilikuwa nampa kipindi chote...Sina vigezo mujibu wa sheria mimi naulizia tu kuna manzi yangu anavyovigezo vyote na kaapply ila info kama hizi ndo hapati
Niamini mimi huyo manzi ipo siku atakutafuta tena hata akiwa ndani ya familia yake na atajutia sana alichokufanyia karma is realy itamtesa sana hiyo ishi maisha yako tu ila ipo siku hutaamini atakavyojilizaMiaka kadhaa hapo nyuma niliwahi kuwa na dem hadi tukatambulishana vijisenti nilikuwa nampa kipindi chote...
Alienda Jkt nipo nae kamaliza nipo nae, nafasi Jw zikatoka akapata ameenda course nipo nae kamaliza nipo nae kapangiwa kituo cha kazi nipo nae, tukakubaliana nikaenda mtolea mahari muhuni nikiwa napambana ili niwe nae karibu.
Ikaja tokea kapata mimba ya jamaa wako kambi moja/ kituo kimoja cha kazi, nikawa sijui nikiwa nawasiliana nae na kuonana nae kufanya maisha. Mimba ikiwa kubwa kidogo akashindwa vumilia akanichana.
Daah niliumia ila sikuwa na jinsi, nikaongea na wazazi wake nikarudishiwa mahari niliyo toa maisha yakaendelea.
NB. Akifanikiwa kwenda usie na matarajio yakuwa wako tena
Aisee pole sana.Mwanamke ni wako ukiwa nae Karibu,akishakuwa mbali si wako lazima watampiga tu.Sema huyo hakukupenda Kwa dhati,akienda kweli kusaliti huwa ngumu sana.Pole sana.Ila najua siku Moja atarudi kwako na kuomba Msamaha,Sema ndio hivyo atakuwa kachelewa...Miaka kadhaa hapo nyuma niliwahi kuwa na dem hadi tukatambulishana vijisenti nilikuwa nampa kipindi chote...
Alienda Jkt nipo nae kamaliza nipo nae, nafasi Jw zikatoka akapata ameenda course nipo nae kamaliza nipo nae kapangiwa kituo cha kazi nipo nae, tukakubaliana nikaenda mtolea mahari muhuni nikiwa napambana ili niwe nae karibu.
Ikaja tokea kapata mimba ya jamaa wako kambi moja/ kituo kimoja cha kazi, nikawa sijui nikiwa nawasiliana nae na kuonana nae kufanya maisha. Mimba ikiwa kubwa kidogo akashindwa vumilia akanichana.
Daah niliumia ila sikuwa na jinsi, nikaongea na wazazi wake nikarudishiwa mahari niliyo toa maisha yakaendelea.
NB. Akifanikiwa kwenda usie na matarajio yakuwa wako tena
Aseee pole sana ila hata mimi sina imani nae saaana lolote lile litokealo nimejipangaMiaka kadhaa hapo nyuma niliwahi kuwa na dem hadi tukatambulishana vijisenti nilikuwa nampa kipindi chote...
Alienda Jkt nipo nae kamaliza nipo nae, nafasi Jw zikatoka akapata ameenda course nipo nae kamaliza nipo nae kapangiwa kituo cha kazi nipo nae, tukakubaliana nikaenda mtolea mahari muhuni nikiwa napambana ili niwe nae karibu.
Ikaja tokea kapata mimba ya jamaa wako kambi moja/ kituo kimoja cha kazi, nikawa sijui nikiwa nawasiliana nae na kuonana nae kufanya maisha. Mimba ikiwa kubwa kidogo akashindwa vumilia akanichana.
Daah niliumia ila sikuwa na jinsi, nikaongea na wazazi wake nikarudishiwa mahari niliyo toa maisha yakaendelea.
NB. Akifanikiwa kwenda usie na matarajio yakuwa wako tena