Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Niamini mimi huyo manzi ipo siku atakutafuta tena hata akiwa ndani ya familia yake na atajutia sana alichokufanyia karma is realy itamtesa sana hiyo ishi maisha yako tu ila ipo siku hutaamini atakavyojiliza
Source: Trust Me
Ndio hivyo mkuu, nilisha acha yapite napamba maisha yaende
 
Pamoja mkuu
 
Naona kana kwamba humu watu wanazidi kupungua aiseee.....wengine hawaonekani kabisa
 
Aisee pole Sana!

Sent from my SO-02K using JamiiForums mobile app
 
Humu wengi wameenda Depo ila watu walivyo wasiri kama hawakupata vile nafasi

Uzi umepoa si mchezo kabisa!! Jobless kesho tunaamka sangapi kufungulia Bata
 
Humu wengi wameenda Depo ila watu walivyo wasiri kama hawakupata vile nafasi

Uzi umepoa si mchezo kabisa!! Jobless kesho tunaamka sangapi kufungulia Bata
Acha waende kila mtu kaandikiwa chake.
Kikubwa tusiache kutafuta pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…