Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Oya ndege..

Kama vipi tuibuke msata hapo RTS tujifanye tumeenda kwa maelekezo[emoji28][emoji16]..

You never know Mwanangu.[emoji19]
Unafika pale unaawaambia mpigie mama ..yeye kaniambia nije hpa nitapokelewa..
Maelezo mkihitaji mpigieni yeye
 
kuna jamaa alitafuta namba ya **** kipindikile akaiprint kwenye karatasi na malezo kwa chini KWA MAELEZO ZAIDI NIPIGIWE ikafata cheo na jina,hawakupiga ile namba jamaa akaendelea na mafunzo had kamaliza int 40.(Dont try this[emoji2958] inaweza kuwa ni story tuu)
 
Leo unfit wamesomwa RTS kihangaiko so watarudishwa na replacement itafanyika kucover gape idadi ya waliopungua
Daah hebu waza ndo ukute vijana wengi waliokaa jkt na ndio wameenda bog la ajira wakijua wanavaa mshati alafu leo hii wanaambiwa unfit....kambini kwao hawatakiwi tena ni kurudi nyumbani hapo....inaumiza sana na kusikitisha
 
Back
Top Bottom