Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Nilifuta app niliona sipati notification na picha hazifungukiKiongozi me nimekuja inbox naona kimya
Nafasi ziliuzwa kwa hela tena milioni 3 huko,me nilipata connection ya mkuu wa kikosi cha mafunzo kichaka miba lkn nikaambiwa nitoe hizo hela,maskini ya mungu nikaenda mbioEbana ehh!!! Hivi kuna hata mwana mmoja ambae amefanikiwa kupata UT humu!!! Tuanzie hapa kwanza[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamaliza wiki sasaMsata vp koz imeanza
Duuh vp na Moshi naoWanamaliza wiki sasa
Moshi vip uko nao wameanza??Duuh vp na Moshi nao
ni kweli kama umebadilibadili wanajua na pia unapeleka nida za wazazi details zako na zao zisipishaneHv kuna ukwel wowote waliokuwa msata w baadhi kurudishwa kwa kufoji nida kama 400 hv
DuhHv kuna ukwel wowote waliokuwa msata w baadhi kurudishwa kwa kufoji nida kama 400 hv
Suala la kifoji vyeti na document nyingine kama nida, au vyeti vya elimu ni kawaida kwa mtipidii!! Ila mhh hiyo idadi sina uhakika nayo kama ni kweli au laHv kuna ukwel wowote waliokuwa msata w baadhi kurudishwa kwa kufoji nida kama 400 hv
Wanataka wenye elimu tu wakati huu
Bogi la proffesionals hizi....za ndani kabisa course yao inaweza kuwa extended wakatoka na vyeo kabisa.Wanataka wenye elimu tu wakati huu
Hizo za ndani kabisa..[emoji28]Bogi la proffesionals hizi....za ndani kabisa course yao inaweza kuwa extended wakatoka na vyeo kabisa.
Mbona hawajaweka idadi lakinii??Bogi la proffesionals hizi....za ndani kabisa course yao inaweza kuwa extended wakatoka na vyeo kabisa.
Hivi kila gereza Lina vituo vya Afya/ health facility??Bogi la proffesionals hizi....za ndani kabisa course yao inaweza kuwa extended wakatoka na vyeo kabisa.
Ni Karibia magereza yote ya Mkoani yana Health Facilities sijui ya wilayani ila baashi yanayoHivi kila gereza Lina vituo vya Afya/ health facility??
Ndio....kwa kiasi kikubwa...kwa ajili ya kuhudumia wafungwa na jamii / familia za wanamagerezaHivi kila gereza Lina vituo vya Afya/ health facility??
Hivi kwa idara ya mambo ya ndani kupata star [emoji92] si mpaka uwe na degree???Ni Karibia magereza yote ya Mkoani yana Health Facilities sijui ya wilayani ila baashi yanayo
Baadhi (Gereza Butimba) unakuta zipo mbili ndani ya Ngome na Nje pia ipo kwa Raia na Familia za Askari