Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
We mbona ni mzima kabisa hujachanganyikiwa bado mkuuJamani kama kuna mtu mwenye uwezo wakunisaidia niingie chomboni! Naomba anipe support! Najikuta nashindwa kufanya kazi nyingine yani nimechanganyikiwa na haya majeshi! Vyeti ninavyo pia umri unaruhusu! Elimu ni degree
MT sipakubali sna,japo nasikia saizi nao mambo fresh kwa ma afsa kifupi sijaomba, kuhusu mbanga aiseeh sijaistua tena ,saiz niko napambania PSRSSawa rafiki ushauri mzuri sana,ila vipi huyo mbanga wako analonja gani kuhusu UT adi sasa na vipi magereza uliomba
Kunguru wa manzese itakua kabadili ID,kulinda privacy yakeeNdugu nikikuonaga comments zako namkumbuka na kunguru wa manzese
Huyu Mwamba nakumbuka alizamia UT muda Sana kashagraduate ila hatumuoni akija humu tenaTuma posta boss,
Wajuba wakizama chomboni hawarudigi Kabisa humu,kuna jamaa anaitwa Dean humu alizamia MT lkn humu aingii niliona uzi wake mmoja anatafuta mke [emoji16][emoji16][emoji16]Kunguru wa manzese itakua kabadili ID,kulinda privacy yakee
ujobless ni zaidi ya hell mkuu,watu wakipata kazi humu wanapita kwa kuchungulia tu ,akili yao inahamia kwenye ku clear bills and investment planningWajuba wakizama chomboni hawarudigi Kabisa humu,kuna jamaa anaitwa Dean humu alizamia MT lkn humu aingii niliona uzi wake mmoja anatafuta mke [emoji16][emoji16][emoji16]
Nakushauri huyo mbanga wako endelea kuwa naye Karibu tena zidisha ukaribu Sana atakusaidia tu utaingiaMT sipakubali sna,japo nasikia saizi nao mambo fresh kwa ma afsa kifupi sijaomba, kuhusu mbanga aiseeh sijaistua tena ,saiz niko napambania PSRS
Anatafuta mke [emoji1787]Wajuba wakizama chomboni hawarudigi Kabisa humu,kuna jamaa anaitwa Dean humu alizamia MT lkn humu aingii niliona uzi wake mmoja anatafuta mke [emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi polisi wameshaanza mafunzo wakuu??
Ndio huo jamaa kawekwa gereza moja la kilimo huko porini hata wachumba hawaoni naona [emoji28][emoji28]Anatafuta mke [emoji1787]
Kozi bado haijaanza. Wa Nasubiriwa Makoplo wamalize kozi yao then waanze. Nadhani inaweza kuwa mwanzoni mwa mwezi wa 6.Hivi polisi wameshaanza mafunzo wakuu??
Hiyo ya kuingia 1000 kama ni kweli hawa jamaa ni nouma aise... ππ½ππ½ππ½Kozi bado haijaanza. Wa Nasubiriwa Makoplo wamalize kozi yao then waanze. Nadhani inaweza kuwa mwanzoni mwa mwezi wa 6.
NB: wale walioenda intake ya kwanza walifanyiwa vipimo, 200+ wakawa unfit wakarudishwa. Ikabidi waongeze vijana wengine intake ya pili ambao waliingia kama vijana 1000 hivi
Ukiachana na wale waliochaguliwa second selection, kuna vijana wengi sana walienda kwa maelekezo.Hiyo ya kuingia 1000 kama ni kweli hawa jamaa ni nouma aise... ππ½ππ½ππ½
Second selection walitoa majina kama 400 hivi πππ
Dahhh hivi ndio kuna dalil ya kuja intake nyengin huko??Kozi bado haijaanza. Wa Nasubiriwa Makoplo wamalize kozi yao then waanze. Nadhani inaweza kuwa mwanzoni mwa mwezi wa 6.
NB: wale walioenda intake ya kwanza walifanyiwa vipimo, 200+ wakawa unfit wakarudishwa. Ikabidi waongeze vijana wengine intake ya pili ambao waliingia kama vijana 1000 hivi
Hakutakuwa na intake nyingine mwaka huu. Hawa wakianza mwezi wa sita watamaliza Juni 2024. Maybe intake nyingine inaweza kuwa mwishoni mwa 2024.Dahhh hivi ndio kuna dalil ya kuja intake nyengin huko??
Pale CCP niliskia wanaeza chukus intake mbili kwa wakat mmja...ama sio?Hakutakuwa na intake nyingine mwaka huu. Hawa wakianza mwezi wa sita watamaliza Juni 2024. Maybe intake nyingine inaweza kuwa mwishoni mwa 2024.