Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Asee wakubwa wenye connection basi waseme kama ni doo tutatoa...tuzame tu iii PT maan naskia apa nipaka labda june 2024 ndo intake nyingne inaeza kuja
 
Kuna bogi lipo MMJ litapiga kozi au nafasi zitatolewa na MMJ badae au ikoje ? Ile ronja ya nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi kwa madereva na mafundi mwezi 'May' au 'June' mwaka huu 2023 bado ipo au haina uhakika ? Nieleweshe kaka (kama unafahamu) asante.
Lonja nilizo nazo ni za bogi la pili ukiacha lile la msata kuna lingine linaweza kupigwa oljoro au makao makuu yaani makutupora...maandalizi ndo yana anza...
 
Ndio huo jamaa kawekwa gereza moja la kilimo huko porini hata wachumba hawaoni naona [emoji28][emoji28]
[emoji1787] Kawekwa Gereza KalilaNkulukulu mlele KATAVI ndanindani huko au Gereza Matongo mwendo kupishana na Tembo tu
 
jamani jwtz mbona wamekua waongo sahili zao zinakua za uongo kuanzia op makao watu ni mwendo wa msg tu yani wakatangaza ajira ila kunawachache wakapigiwa cm walopiganisha kunawatu wametumia nauli kutoka mikoa mbalimbali had kwenda makao ya jeshi lakini mpaka sasa kimya watu wamejibana kuwapa watoto wao nauli mpaka sasa kimya jwtz kunagenge pale limearibu jeshi mtu mpaka hawe na milion ndo hapate nafasi wakat kajitoleo miaka 3
 
Back
Top Bottom