southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
unamaanisha Op makao makuu au?Acha msata washaanza kuna bogi la makao makuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamaanisha Op makao makuu au?Acha msata washaanza kuna bogi la makao makuu
Maisha ndivyo yalivyoUkiachana na wale waliochaguliwa second selection, kuna vijana wengi sana walienda kwa maelekezo.
Kinachoshindikana hapa duniani ni kumfufua mfu tu.😀Kuna mbanga unaweza pata ikakusaidia kuingia PT kwa wakati huu?
Daaah kubabeq umeongea kinyonge sana masterShukrani mkuu acha tuangalie mtaani tufanye nini.
😀😀😀Huko inategemea tu nani yupo nyuma yako.. Kuna mtu anajicho moja la kondoo kuna mwingine anamguu mmoja mfupi mwingine mrefu wapo wanasubiri kozi mkuu
Lonja nilizo nazo ni za bogi la pili ukiacha lile la msata kuna lingine linaweza kupigwa oljoro au makao makuu yaani makutupora...maandalizi ndo yana anza...Kuna bogi lipo MMJ litapiga kozi au nafasi zitatolewa na MMJ badae au ikoje ? Ile ronja ya nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi kwa madereva na mafundi mwezi 'May' au 'June' mwaka huu 2023 bado ipo au haina uhakika ? Nieleweshe kaka (kama unafahamu) asante.
[emoji16][emoji16]hamna kakaDaaah kubabeq umeongea kinyonge sana master
Kiongozi naww wà kitambo,unapambania lkn hukubahatika Hadi dk hii,[emoji26]
Ngoma ngumu sana kaka nmekuwa mtu wa kuulizia lonja kila siku sema hakuna kukata tamaa japo kuna mambo yananiweka kijijini.Kiongozi naww wà kitambo,unapambania lkn hukubahatika Hadi dk hii,[emoji26]
Hapana mkuu, kuna watu waliniogopesha kuwa kesi za watoto na wazazi wao xitakuwa nyingi.Chief vp ile ishu ulianza?
[emoji1787] Kawekwa Gereza KalilaNkulukulu mlele KATAVI ndanindani huko au Gereza Matongo mwendo kupishana na Tembo tuNdio huo jamaa kawekwa gereza moja la kilimo huko porini hata wachumba hawaoni naona [emoji28][emoji28]
Unaogopaje wazazi kaka wakati unakuwa huruhusu mwanafunziHapana mkuu, kuna watu waliniogopesha kuwa kesi za watoto na wazazi wao xitakuwa nyingi.
Uhamiaji anza kuandaa line ya uhakika mapemaaa mnooo huwa pagumu kuleeKama ni polisi uhamiaji na jwtz
Living Pablo tupe ronja mzee wa kaziWakuu tupeni ronja za mwakani tutayarishe mbanga