Oya sio poa mwananguWANAMALIZIA UKAGUZI WA SEHEMU ZA MAZOEZI KWENYE KAMBI HUSIKA, KISHA SOON MAMBO ITAKUWA NI FUJO HAPO MTIPIDIIEFUUU
Ukiweka wap sasa?Wakuu hiv nikiwek 2 million ntakosa mbanga kweli[emoji23][emoji23]
Kuanzia wiki ijayo upembuzi yakinifu utafanyika (vigezo ni JKT na kada zilizoainishwa kwenye tangazo) then vijana wataanza kupigiwa simu kwaajili ya kufanyiwa usahili.Wakuu MT nn kinaendeleaa
Huwa nikupigiwa Simu au watatoa PDF??Kuanzia wiki ijayo upembuzi yakinifu utafanyika (vigezo ni JKT na kada zilizoainishwa kwenye tangazo) then vijana wataanza kupigiwa simu kwaajili ya kufanyiwa usahili.
Vigezo ni jkt?? Hahah!! Wakati watu wanaingia huko kila siku bila hata kupitia jkt!!! Na wapo wataoingia hata ambao fani zao hazikutajwa!!Kuanzia wiki ijayo upembuzi yakinifu utafanyika (vigezo ni JKT na kada zilizoainishwa kwenye tangazo) then vijana wataanza kupigiwa simu kwaajili ya kufanyiwa usahili.
SahihiVigezo ni jkt?? Hahah!! Wakati watu wanaingia huko kila siku bila hata kupitia jkt!!! Na wapo wataoingia hata ambao fani zao hazikutajwa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wapo Course ya Ukoplo Nina jamaa zangu wanakipigaJana nimekutana na baka baka mitaa ya kigamboni, zipo mabio, jua kali la saa sita..
Aisee , walikuwa wametweta, na wamachafuka full combat,
Nilitaman nijiunge nao, Kwa moral.
Nahisi wapo kozi
Kozi ya jeshi inafanyika mjini kwenye lami na maghorofa ? DuuuuhWale wapo Course ya Ukoplo Nina jamaa zangu wanakipiga
Hizo course za kuongeza vyeo ni kawaida tu, wana chuo chao kingine kule Bahari Beach NDC (National Defence College) katikati kabisa ya makazi na biashara za watu, mara nyingi course za awali zile za kutafuta ajira au kutafuta nyota ya kwanza ndio hupigwa maporini hukoKozi ya jeshi inafanyika mjini kwenye lami na maghorofa ? Duuuuh
Ww nahisi hupendi kua mwalimu wa jeshi.Mi napenda niwe mwalimu wa jeshi.Michongo inakuaje?
NDC sio lazima uwe Jwtz...cuz kule wanatoa masters in security n.kHizo course za kuongeza vyeo ni kawaida tu, wana chuo chao kingine kule Bahari Beach NDC (National Defence College) katikati kabisa ya makazi na biashara za watu, mara nyingi course za awali zile za kutafuta ajira au kutafuta nyota ya kwanza ndio hupigwa maporini huko
[emoji28]kwamba ww unamzidi kwa kupenda?Ww nahisi hupendi kua mwalimu wa jeshi.
wako kimbiji chuo cha uongozi mkuu kigamboni kubwaKozi ya jeshi inafanyika mjini kwenye lami na maghorofa ? Duuuuh
wanapiga ucoplowako kimbiji chuo cha uongozi mkuu kigamboni kubwa
Kozi ya Ukoplo hio nduguKozi ya jeshi inafanyika mjini kwenye lami na maghorofa ? Duuuuh
Aise acha kabsa kaka 👐🏽
KabisaNDC sio lazima uwe Jwtz...cuz kule wanatoa masters in security n.k