mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hahahahahahaha hahahahah nimekubaliMaelezo mengi lkn umeandika pumba huna ujualo zaidi ya roho mbaya na ubaguzi huu Uzi tunapeana lonja kuhusu mustakabali unavyoenda lkn wewe na roho yko mbaya unaleta mdahalo wa ubishani nenda vijiweni ukabishane humu siyo mahala pako .mkuu
Limetoka tangazo lingine kaka?Zipo za wenye fani
Watu wanasubiri kuitwa kwenye usaili. Ulikuwa wapi?Zipo za wenye fani
hawajaita tu watu mkuu?Watu wanasubiri kuitwa kwenye usaili. Ulikuwa wapi? View attachment 1965369
Mmmmmmmmhhhhh,kwamba unahisi watu wa aina hiyo wapo humu ndani?Kuna mtu , hajawai kuitwa kwenye usahili wowote, hana mbanga heavy, ametuma maombi mkoani, jina halijatoka, bado anawaza kupata nafasi, nyie nyie, lonja hazina mchongo tena now, ule moto umekata
Hiyo nilishatuma nilikuwa namuelekeza jamaa alisema ajaonaWatu wanasubiri kuitwa kwenye usaili. Ulikuwa wapi? View attachment 1965369
Form iv au v? AuDodoma washasomewa majina yao
Wangapi mbna ronja yako haijakamilikaDodoma washasomewa majina yao
Unasema au unaaliza?Hakuna usahili ulio fanyika zaidi ya ule wa dsm, madaktar
Dsm haujafanyika wa madaktari peke yao bali na taaluma zingine pia, au unamaanisha nnHakuna usahili ulio fanyika zaidi ya ule wa dsm, madaktar
Siyo kweli Kuna mikoa mambo ya usaili yamekwisha hadi oral interview wamemaliza watu wanasikilizia majina yao tuHakuna usahili ulio fanyika zaidi ya ule wa dsm, madaktar
Weka tuonePdf Loading................ Za ndani kabisa
Form 4 na sixForm iv au v? Au