Sahihi. Ukiachana na wanajeshi waajiriwa wanaoenda Monduli kufanya kozi ya Uafsa jeshini. Kuna wale wanaofanya kozi fupi then wanaenda monduli moja kwa moja mfano Proffesionals (kama Madaktari na Engineers waliopo Monduli hivi sasa).Usaili wa kwenda monduli anafanya mtu aliye ajiriwa kabisa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
OP Mabeyo wapo mpaka wenye shahadaKwanza kuanzia op samia na mabeyo wote Ni form four na la Saba utaratibu ulishabadilika jkt waliacha kuchukua wasomi so how wapelekwe monduli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huezi jua capacity wanataka wangapi maana hawakutangaza idadiAnha!! Kumbe.. Thanks kwa info meku..!!
Basi hapa inaonekana wa mtaani watachukuliwa kiduchu tu..
Labda Baba kantumaOP Mabeyo wapo mpaka wenye shahada
Ni kweli upo sahihiSahihi. Ukiachana na wanajeshi waajiriwa wanaoenda Monduli kufanya kozi ya Uafsa jeshini. Kuna wale wanaofanya kozi fupi then wanaenda monduli moja kwa moja mfano Proffesionals (kama Madaktari na Engineers waliopo Monduli hivi sasa).
Mbona kuna mtu namfahama anadiploma na yuko jkt hawa waliofanya kozi moezi minne...Ndio wanachukua la Saba na form four tu kwa upande wa kujitolea
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uhamiaji watakuja lini tena?Magereza sina watu hukoh kaka
Ndio anaeza kua aliingia Baba kanituma au anaeza ficha elimu yake akatumia form fourMbona kuna mtu namfahama anadiploma na yuko jkt hawa waliofanya kozi moezi minne...
Wataalamu wenye Fani watakuwa wanachukua Mujibu mkuu!??Kwanza kuanzia op samia na mabeyo wote Ni form four na la Saba utaratibu ulishabadilika jkt waliacha kuchukua wasomi so how wapelekwe monduli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio mfano hata saiv kuna ma daktari na ma injinia wanapiga kozi msata wengi mujibu nadhani hao wakimaliza watapelekwa monduliWataalamu wenye Fani watakuwa wanachukua Mujibu mkuu!??
Hao waliopo msata ni wenye diploma. Wenye degree wapo Monduli wanapiga kozi ya cadet.. kiujumla walikusanywa wote mwaka jana, wakaapa pale Makutupora. Wenye degree wakenda cadet (baada ya kufanya kozi fupi ya awali) then hao wa diploma wakaenda Msata. So watakapoajiriwa jeshini watafuata utaratibu wa kawaida kwenda Monduli kama watakua na sifa..Ndio mfano hata saiv kuna ma daktari na ma injinia wanapiga kozi msata wengi mujibu nadhani hao wakimaliza watapelekwa monduli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ok sawa nmekupataHao waliopo msata ni wenye diploma. Wenye degree wapo Monduli wanapiga kozi ya cadet.. kiujumla walikusanywa wote mwaka jana, wakaapa pale Makutupora. Wenye degree wakenda cadet (baada ya kufanya kozi fupi ya awali) then hao wa diploma wakaenda Msata. So watakapoajiriwa jeshini watafuata utaratibu wa kawaida kwenda Monduli kama watakua na sifa..
Hio ni lonja ama mbona unatukatisha Tamaa mkuu mbona nasikia zinakuja tena mwakani polisi uhamiaj hata enzi za kikwete zilikua hivo kwa mkupuoVijana pambaneni muingie chomboni mwaka huu hizi Ajira za majeshi haziwezi kurudi kila mwaka serikali Ina sehem nyingi zinazohitaji watumishi sio majeshi tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hawa ndio wale,"Unanijua mimi ni nani?"[emoji2
Sio lonja mkuu nilikua nasema watu wapambanie ya Leo maana ya kesho sio guaranteeHio ni lonja ama mbona unatukatisha Tamaa mkuu mbona nasikia zinakuja tena mwakani polisi uhamiaj hata enzi za kikwete zilikua hivo kwa mkupuo
Hakuna mtu asiyeweza kufanywa chochote Tanzania hii wanawakuta wajingaWakishalewa pale Nar utawasikia .... kijana "Nitakupoteza dakika moja na hautanifanya chochote"