Himidt Lengo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2018
- 307
- 244
Duuuuh ulishabarikiwa kuingia jeshini tena ukapata na nafasi ukawa TMA badae urudishwe kitaa kusota tena ? Noma sanaWapo wamerud home ...baadhi wakon TAU Wana sikilzia upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh ulishabarikiwa kuingia jeshini tena ukapata na nafasi ukawa TMA badae urudishwe kitaa kusota tena ? Noma sanaWapo wamerud home ...baadhi wakon TAU Wana sikilzia upepo
Hiyo kitu haipo...kozi ya Tma ni kozi cheo ukizingua unarud kikosini tu kama kawa...unless ufanye kosa la kufukuzwa kaziDuuuuh ulishabarikiwa kuingia jeshini tena ukapata na nafasi ukawa TMA badae urudishwe kitaa kusota tena ? Noma sana
kigoma[emoji28][emoji23],NIMEPATA ZA CHINI YA MAJI, KOZI YA MTIPIDIII RTS ITAPIGWA KWA KINA BRAZA K NA SIO KWA KINA JANJAROO TENA.
Ah!! ***** sio poa[emoji28]NIMEPATA ZA CHINI YA MAJI, KOZI YA MTIPIDIII RTS ITAPIGWA KWA KINA BRAZA K NA SIO KWA KINA JANJAROO TENA.
Vipi kiongozi tupe ronjaOkay,Nimepata taarifa sahihi sasa iko hiv usaili unaofanyika tarehe 24 may vikosini sio wa monduli point of correction.
Usaili huu vijana watakaopatikana vikosini watakombainiwa na wale watakaochukuliwa wa mtaani nafasi zile zilizotangazwa wale wakujitolea 2yrs.Kuanzia June 1 wataanza kuitwa kwa message kwenda kwenye usaili (Wale waliopo mtaani wakujitolea).By Tarehe 1August kozi itaanza Rasmi katika kambi iliyochaguliwa kwa mafunzo,Naomba kuwasilisha.
MITATU BILA SHAKAHivi RTS sahivi kozi miezi mingapi 6 au 4?
Eeeh!!! Kama mitatu scale yake sio mchezo nilikuwa naangalia mahafari nasikia watu kadhaa wamekufa kweli kule kiumeniMITATU BILA SHAKA
Ni miezi 10 jumlamitatu ilikuwa kipindi cha magufuli ila kuanzia int ya 40 ni miez 6 + miez 4 lv 3 =jumla 10 hadi kuja kuitwa private wa jeshi. ukimaluza rts tuu unakuw TS yaani training soldier
yaah,kama wale walioanza kozi oljoro mwenzi wa 4 2022 ndio wamemaliza mwezi wa 4 mwaka huu level 3 sahizi ni maprivate kamiliNi miezi 10 jumla
Duuhyaah,kama wale walioanza kozi oljoro mwenzi wa 4 2022 ndio wamemaliza mwezi wa 4 mwaka huu level 3 sahizi ni maprivate kamili