Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Duuh

Mimi ninachojua course ya awali ya RTS ya kuwa Private huwa ni miezi minne ila mwaka jana walipiga miezi sita

Kule Kihangaiko walianza December mwishoni 2021 wakaapa June mwishoni 2022, (hawa mahafali yao nilihudhuria mwenyewe)

Na Oljoro walianza March mwishoni 2022 wakaapa September mwishoni 2022 (hawa mahafali yao niliangalia youtube kwenye channel ya jwtz)

Sasa hiyo ya miezi kumi imekaaje na hao waliomaliza mwaka huu ni wepi naomba ufafanuzi kidogo hapo

Yeah hata mimi nina jamaazangu mmoja alimaliza Kihangaiko mwezi wa 7 mwezi wa 11au 12 akaunga Monduli mwingine alikuwa Oljoro tarehe 30/09 aliapa baada ya muda kadhaa alipangiwa Kambi moja hivi ipo Dar.
 
Inatuhusu
IMG_20230525_115112.jpg
 
Tuelewe kipi
 

Attachments

  • Screenshot_20230525-115034.jpg
    Screenshot_20230525-115034.jpg
    67 KB · Views: 8
Duuh

Mimi ninachojua course ya awali ya RTS ya kuwa Private huwa ni miezi minne ila mwaka jana walipiga miezi sita

Kule Kihangaiko walianza December mwishoni 2021 wakaapa June mwishoni 2022, (hawa mahafali yao nilihudhuria mwenyewe)

Na Oljoro walianza March mwishoni 2022 wakaapa September mwishoni 2022 (hawa mahafali yao niliangalia youtube kwenye channel ya jwtz)

Sasa hiyo ya miezi kumi imekaaje na hao waliomaliza mwaka huu ni wepi naomba ufafanuzi kidogo hapo
yaah ndìvyo ivo ila wanapomaliza na kufanyiwa mahafari pale wanakuwa ni ma TS wnapewa mwezi wa kupumzika wanaenda kupiga kozi ya lev.3 miezi mi4 wakiwa kwnye makambi yao waliyopangiwa,sijui sahizi umenielewa
 
Yeah hata mimi nina jamaazangu mmoja alimaliza Kihangaiko mwezi wa 7 mwezi wa 11au 12 akaunga Monduli mwingine alikuwa Oljoro tarehe 30/09 aliapa baada ya muda kadhaa alipangiwa Kambi moja hivi ipo Dar.
yaani ukimaliza rts hauruhusiwi kuvaa zile baret yenye mwenge unavaa pama na kape tuu mpaka uende tena kozi ya miezi minne ndio unaanza kuvaa baret ya kamadi yako
 
yaani ukimaliza rts hauruhusiwi kuvaa zile baret yenye mwenge unavaa pama na kape tuu mpaka uende tena kozi ya miezi minne ndio unaanza kuvaa baret ya kamadi yako
🫡Afande upo vizuri... Na hii level 3 wanahenyeka kama ile ya mwanzo au uwa darasani tu?
 
yaani ukimaliza rts hauruhusiwi kuvaa zile baret yenye mwenge unavaa pama na kape tuu mpaka uende tena kozi ya miezi minne ndio unaanza kuvaa baret ya kamadi yako
Oohh hapo sawa nimekupata mkuu

Anyway vipi kama mtu anatakiwa kuenda monduli bado atapiga hiyo course

Halafu na vipi kama mtu akihamishwa kamandi na beret nayo anabadilishiwa tu au
 
jw hamna kupoa kozi nying,kuna jamaa wa int ya 40 bado wapo kozi tuu za vitengo wengine wapo mondul yaan hawajapoa toka watoke msata
Ninavyopenda kujila kwa kijeshi ningejila mpaka nikaisha sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningepiga kozi mpaka kiunzi cha mwili kikawa kinaonekana kwa kukonda na mazoezi, Mamaeeh
 
Back
Top Bottom