Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya jkt moja wapo ya kigezo cha kujiunga na jkt mujibu wa sheria ni "awe na elimu ya kidato cha sita na kuendelea" na nimeona tukimaliza tu necta hua tunapangiwa makambi(form six) sasa hao wenye elimu zaidi ya form six hua wanaingiaje mujibu? Maana kigezo kinaruhusu binafsi nimemaliza bachelor na nina 22 yrs je nikiingia kosi mojawapo nipate mafunzo ya mujibu nakosea? au ndo mpaka nijitolee tena na kujitolea siku izi ukiwa na elimu kubwa tu jeshi linapenda tuwepo lakini wanazengo hawataki kukuona hata kwenye usaili mnisaidie ndugu zangu nimeona niulize muda muafaka nisijekuta nina chance nikaipoteza
 
Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya jkt moja wapo ya kigezo cha kujiunga na jkt mujibu wa sheria ni "awe na elimu ya kidato cha sita na kuendelea" na nimeona tukimaliza tu necta hua tunapangiwa makambi(form six) sasa hao wenye elimu zaidi ya form six hua wanaingiaje mujibu? Maana kigezo kinaruhusu binafsi nimemaliza bachelor na nina 22 yrs je nikiingia kosi mojawapo nipate mafunzo ya mujibu nakosea? au ndo mpaka nijitolee tena na kujitolea siku izi ukiwa na elimu kubwa tu jeshi linapenda tuwepo lakini wanazengo hawataki kukuona hata kwenye usaili mnisaidie ndugu zangu nimeona niulize muda muafaka nisijekuta nina chance nikaipoteza
Navyojua mujibu uwa form 6 pia kuna baadhi ya watu mfano kuna mwaka wabunge baadhi nilisikia walipiga kozi Makutupora ya Mujibu nafikiri ni Op Uchumi wa Kati, Kuhusu kujitolea nlisikia sahivi ni form4 kushuka chini bado hawajaanza kuchukuliwa wa elimu ya juu
 
Ukisoma kwenye tovuti rasmi ya jkt moja wapo ya kigezo cha kujiunga na jkt mujibu wa sheria ni "awe na elimu ya kidato cha sita na kuendelea" na nimeona tukimaliza tu necta hua tunapangiwa makambi(form six) sasa hao wenye elimu zaidi ya form six hua wanaingiaje mujibu? Maana kigezo kinaruhusu binafsi nimemaliza bachelor na nina 22 yrs je nikiingia kosi mojawapo nipate mafunzo ya mujibu nakosea? au ndo mpaka nijitolee tena na kujitolea siku izi ukiwa na elimu kubwa tu jeshi linapenda tuwepo lakini wanazengo hawataki kukuona hata kwenye usaili mnisaidie ndugu zangu nimeona niulize muda muafaka nisijekuta nina chance nikaipoteza
Mujibu kama sio form six unaweza kwenda mpka uende makao makuu jkt kuomba then watakupangia kambi utapiga na form six kozi ikiisha utarud home. Kuhusu kujitolea sahz mwisho ni form 4.
 
Mujibu kama sio form six unaweza kwenda mpka uende makao makuu jkt kuomba then watakupangia kambi utapiga na form six kozi ikiisha utarud home. Kuhusu kujitolea sahz mwisho ni form 4.
Chukua ushauri huu ukienda mmjkt hawatakukataa Tena watakufurahia kukuona mzalendo na chap utapangiwa kambi kuungana na hao ma dg wa six

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Navyojua mujibu uwa form 6 pia kuna baadhi ya watu mfano kuna mwaka wabunge baadhi nilisikia walipiga kozi Makutupora ya Mujibu nafikiri ni Op Uchumi wa Kati, Kuhusu kujitolea nlisikia sahivi ni form4 kushuka chini bado hawajaanza kuchukuliwa wa elimu ya juu
oya hii ya kujitolea mwisho form 4 ni official statement?!
 
Usaili ule ulianza Tarehe 24 umesitishwa waliofsnikiwa kufanya usaili ni OP mabeyo.
Op samia walkuwa bado kufanya usaili na usaili umepigwa as u were(Aziyuwea)
Usaili utaendelea tena mwezi wa saba kwaajili ya Kupisha kumbukizi ya miaka 50 ya jkt.
 
Duuh

Mimi ninachojua course ya awali ya RTS ya kuwa Private huwa ni miezi minne ila mwaka jana walipiga miezi sita

Kule Kihangaiko walianza December mwishoni 2021 wakaapa June mwishoni 2022, (hawa mahafali yao nilihudhuria mwenyewe)

Na Oljoro walianza March mwishoni 2022 wakaapa September mwishoni 2022 (hawa mahafali yao niliangalia youtube kwenye channel ya jwtz)

Sasa hiyo ya miezi kumi imekaaje na hao waliomaliza mwaka huu ni wepi naomba ufafanuzi kidogo hapo
Kozi ni miezi 6 ukiplus na uzalendo huwa inatimia kumi,Reference from huyu jamaaa
Screenshot_20230526-214117_GBWhatsApp.jpg
 
Usaili ule ulianza Tarehe 24 umesitishwa waliofsnikiwa kufanya usaili ni OP mabeyo.
Op samia walkuwa bado kufanya usaili na usaili umepigwa as u were(Aziyuwea)
Usaili utaendelea tena mwezi wa saba kwaajili ya Kupisha kumbukizi ya miaka 50 ya jkt.
Kozi mwez wa ngap
 
Back
Top Bottom