ahaa... au huyu anamaanisha kuanzia mwaka huu,,, kigezo ndo kitakua mwisho form 4
HAHahHa ilaa mageeeeza bahnHakuna usahili naskia ni moja kwa moja utaenda kupimwa uko uko na ukaguzi wa vyeti...ila ni lonja tu nimepata
mpaka mwezi wa saba ndo watarudi kuita watu kozi naskia mwez wa nane8Mkuu Mwagabona jeiwiiii vp uko?
Sio magumu tuu, ni magumu sana.Maisha magumu mkuu
Hahisi maslai sio mazuri!!MT watu wanakimbiaga sijui tatizo kubwa Nini,hao MG kama wanahitaji kweli Askari wachukue walioomba kwa idadi kubwa.watanue Jombo hilo,mana magereza kumepoa
yaan namjua vizur alikuwa 834 kjAU majina yamefanana man
atakua alipiganisha kote sasayaan namjua vizur alikuwa 834 kj
Kumbe wewe unapenda Sana dhuluma na rushwa hutapata kamweKwenye PT vitengo hela na madili yapo kama yote haijalishi ni rushwa au ni dhuluma hela ni hela tu boblai tutakutana ahera ,bado hivi vibogi vya kwenda kulinda amani darfur , Msumbiji etc wanavuta mpunga shida usife tu MT wanaenda ila sio kama PT boblai
Huwezi kusema hivyo chief...Kumbe wewe unapenda Sana dhuluma na rushwa hutapata kamwe
WEWE SI MUNGU MTOA RIDHIKI.. ACHA UCHAWI NA CHUKI ZA KIMASKINIKumbe wewe unapenda Sana dhuluma na rushwa hutapata kamwe
Hakuna riziki ya kutenda uovu yeye Kama anafikiria kupata kazi ya kuja kudhulumu watu na kutesa na kupata riziki asiyostahili hafai kuwa Askari narudia tena hafai kabisaHuwezi kusema hivyo chief...
Huna mamlaka ya kugawia watu riziki..
Aliyeziumba mbingu na nchi mwenywe huwanyeeshea mvua wema na wabaya...
Narudia tena hafai Kama yeye anafikiria kupata kazi kwa ajili ya kuja kudhulumu haki za watu hafai narudia tena hafai na mapenzi ya Mungu yatimizwe asitafute kazi kwa mawazo ya kuja kudhulumu haki za watu kula rushwa hafaiWEWE SI MUNGU MTOA RIDHIKI.. ACHA UCHAWI NA CHUKI ZA KIMASKINI
Hakuna uhusiano mbona kati ya miaka 60 ya JKT na kuita watu kwa ajili ya either mafunzo au masahiliano hakuna uhusiano wowote Kama kweli ajira zilitangazwa kwa vijana kutoka uraiani waliopita JKT walikuwa wanamaanisha kweli na sio siasa wakati uliokusudiwa ukifika wataita hayo mambo ya 60 hayawezi kusimamisha au kuchelewesha Jambo Hilo kwa kuwa hakuna uhusiano wowote.Wanasubiri miaka 60 ya jkt ipite wateme watu waende kozi
Kumbe wewe unapenda Sana dhuluma na rushwa hutapata kamwe
kiukweli ajira za jwtz mpaka sasa walitumia siasa kudanganya watu ajira za mwezzHakuna uhusiano mbona kati ya miaka 60 ya JKT na kuita watu kwa ajili ya either mafunzo au masahiliano hakuna uhusiano wowote Kama kweli ajira zilitangazwa kwa vijana kutoka uraiani waliopita JKT walikuwa wanamaanisha kweli na sio siasa wakati uliokusudiwa ukifika wataita hayo mambo ya 60 hayawezi kusimamisha au kuchelewesha Jambo Hilo kwa kuwa hakuna uhusiano wowote.
kiukweli mpaka sasa ajira za jwtz zilitangazwa kisiasa kudanganya watanzani ila hii tabia ya jwtz waliopo ni watu wanajionaje wanatangaza ajira mwisho kimya wakat watoto wa maskin walifunga safari hadi ngome kupeleka barua walitoka mikoa mbalimbali jeshi lilianza kuaribika kuanzia op makao walifanyiwa usahil wa uongo laiti mungu angetokea na kuwaumbua hawa wakuu wanaoleta ajira za siasaHakuna uhusiano mbona kati ya miaka 60 ya JKT na kuita watu kwa ajili ya either mafunzo au masahiliano hakuna uhusiano wowote Kama kweli ajira zilitangazwa kwa vijana kutoka uraiani waliopita JKT walikuwa wanamaanisha kweli na sio siasa wakati uliokusudiwa ukifika wataita hayo mambo ya 60 hayawezi kusimamisha au kuchelewesha Jambo Hilo kwa kuwa hakuna uhusiano wowote.
Uliambiwa Mimi Ni muombaji ?Kumbe wewe unapenda Sana dhuluma na rushwa hutapata kamwe