Majeshi ya kipumbavu kabisa , unategemea nini kwa jeshi linalokumbatia mediocrity ?
So sifa sasa hivi ya kujoin jeshi ni kuwa kilaza aka Form four failure au sio ?
So sifa sasa hivi ya kujoin jeshi ni kuwa kilaza aka Form four failure au sio ?
ahaa... au huyu anamaanisha kuanzia mwaka huu,,, kigezo ndo kitakua mwisho form 4