MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Vijana sijui kama mtapiga usaili magereza[emoji3][emoji1787] inawezekana majina yakatoka mkaunga moja kwa moja kwa wenzenuTrue story kaka[emoji23]!! Watoe tu au ukute watu wamepigiwa simu na hawasemi[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]Vijana sijui kama mtapiga usaili magereza[emoji3][emoji1787] inawezekana majina yakatoka mkaunga moja kwa moja kwa wenzenu
Ila hatujui ngoja tuone
Uhamiaji wapo vizuri sana mkuu.
Takukuru ndio taasisi ambayo inaongoza kwa watu kuhama,Mpaka ikafikia kipindi wakaweka limit ya miaka 5 ndio mtumishi anatakiwa ahame badala ya 3.
Unahama polisi unahamia wapi kwa mfano?? [emoji23] Ukitoa pccb, Majeshi sizani kama unaweza kuhamaMkuu, kumbe majeshi wanaweza kuhama?
Nikajua ukiingia mfano; PT au UT ndo mazima huwezi kuhama tena!
Unahama polisi unahamia wapi kwa mfano?? [emoji23] Ukitoa pccb, Majeshi sizani kama unaweza kuhama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawaNoma na nusu[emoji1]
Apo labda zile rank za juu na kwa maelekezo rasmi ya Amiri Jeshi Mkuu.
Jamaa angekua msomaji mzuri wa vitabu vya ujasusi na upelelezi asingeshangaa mtu kuhama kutoka jeshi moja kwenda jingine...Noma na nusu[emoji1]
po labda zile rank za juu na kwa maelekezo rasmi ya Amiri Jeshi Mkuu.
Kwamba wakaunga moja kwa moja bila usaili,hakuna jeshi la hovyo hivyo hata wakati was vita Askari wakipelea wakahitajika raia watafanyiwa usaili na watu watachujwa sembuse ajira za mkakati mkuu, mambo ni magumu watu hawajui tu na wanaojua hawasemiVijana sijui kama mtapiga usaili magereza[emoji3][emoji1787] inawezekana majina yakatoka mkaunga moja kwa moja kwa wenzenu
Ila hatujui ngoja tuone
Sio kua Askari anahama anapewa mazingira yakufanana na kazi kama ya kitengo chochote kile(target) inayotakiwa kufanyiwa kazi,Sasa ukimkuta anauza machungwa utasema amehama kwenda kwenye machungwa😂😂😂Jamaa angekua msomaji mzuri wa vitabu vya ujasusi na upelelezi asingeshangaa mtu kuhama kutoka jeshi moja kwenda jingine...
Jamaa angekua msomaji mzuri wa vitabu vya ujasusi na upelelezi asingeshangaa mtu kuhama kutoka jeshi moja kwenda jingine...
Ninavyo vya softcopy vingi kuliko hardcopyHakika mkuu!
Tupe list ya vitabu kama itakupendeza walau viwili vitatu tuongeze maarifa kwa upande huo.
Unawajua auxiliary police wale wa miaka 1990..achana na hawa wa siku hizi??Sio kua Askari anahama anapewa mazingira yakufanana na kazi kama ya kitengo chochote kile(target) inayotakiwa kufanyiwa kazi,Sasa ukimkuta anauza machungwa utasema amehama kwenda kwenye machungwa😂😂😂
Sio kua Askari anahama anapewa mazingira yakufanana na kazi kama ya kitengo chochote kile(target) inayotakiwa kufanyiwa kazi,Sasa ukimkuta anauza machungwa utasema amehama kwenda kwenye machungwa😂😂😂
[emoji16][emoji16][emoji16]Hakika mkuu!
Tupe list ya vitabu kama itakupendeza walau viwili vitatu tuongeze maarifa kwa upande huo.
[emoji28][emoji28]we jamaa ni fresh graduate nini?Hivi vile vyeo kwa mfano ndo unaingia jeshini kwa fani, unaanza na nyota moja au bila cheo chochote?
Na kama unaanza bila cheo vinakua vinapanda kila baada ya muda gani? au havina muda maalumu?