Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sijakusoma hapa mkuu..em fafanua tena.
Wadau wakipata changamoto TMA hawajawez endelea wale wa fani awali walianzia Dom waka gawanya degree wakaenda TMA diploma na Chet Msata Sasa walienda TMA wakipata changamoto wanarud kufany kozi ya Askari majuz wameenda report vipimo itakuwa koz fupi
 
Wadau wakipata changamoto TMA hawajawez endelea wale wa fani awali walianzia Dom waka gawanya degree wakaenda TMA diploma na Chet Msata Sasa walienda TMA wakipata changamoto wanarud kufany kozi ya Askari majuz wameenda report vipimo itakuwa koz fupi
Changamoto gani hizo mkuu wanazopata mpaka wanarudi?
 
Mujibu wapo koz tena wapo poli sasa nkajua kuna mtu anajua ln au mwez gan kujitolea watatangaza
ndio nasemea mujb si huwa wanakaa miez mitatu... wanavokaribia kumaliza wanatangaza nafasi ili watu waanze usaili wilayani na mikoani.... nadhani mpaka mwez wa 8 mwishoni au wa 9 mwanzoni watatangaza nafasi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wadau wakipata changamoto TMA hawajawez endelea wale wa fani awali walianzia Dom waka gawanya degree wakaenda TMA diploma na Chet Msata Sasa walienda TMA wakipata changamoto wanarud kufany kozi ya Askari majuz wameenda report vipimo itakuwa koz fupi
Duuh huko TMA inaonekana siyo poa, kwahiyo hao kuhusu nyota ndio wasahau tena, wakitoka hapo wataishia tu kuwa ma NCO au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…