Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hii imekaaje makamanda...View attachment 2692489
IMG-20230718-WA0016.jpg
 
Hii ni kwa police tu sifkirii Kama inahusiana na Jwtz au sivo waungwana?
Asilimia kubwa vyombo vya ulinzi na usalama huwa wanakujaga kwa kufuatana eg.Watakuja polisi kma hivo tayari,JW(Hapa nahisi wataita wale waliombaga wanaosubiria majibu),Uhamiaji, na n.k so probably JW mwez wa nane wataanza kuita watu kwenye usaili makambini.
KIKUBWA KULINDA DAMU.
 
Asilimia kubwa vyombo vya ulinzi na usalama huwa wanakujaga kwa kufuatana eg.Watakuja polisi kma hivo tayari,JW(Hapa nahisi wataita wale waliombaga wanaosubiria majibu),Uhamiaji, na n.k so probably JW mwez wa nane wataanza kuita watu kwenye usaili makambini.
KIKUBWA KULINDA DAMU.
Jw tarehe 17 watasoma majina na vijana waliopo vikosini watahusika wataenda mojakwamoja oljoro

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom