mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,780
- 3,733
Ziko wapi!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziko wapi!??
Sasa ni Polisi au JWTZ!??Vikosini tayari wametangaziwa form for kuazia for ya 29 mpaka one.na tpdf oljoro watasoma majina kuazia tarehe 17 kwa hiyo Kama una mtu omba Sana akusaidie hizi nafasi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jw watasoma majina tu kwa walioko vikosini.polisi wanaombaSasa ni Polisi au JWTZ!??
tar 17 ya mwez upiVikosini tayari wametangaziwa form for kuazia for ya 29 mpaka one.na tpdf oljoro watasoma majina kuazia tarehe 17 kwa hiyo Kama una mtu omba Sana akusaidie hizi nafasi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vikosini tayari wametangaziwa form for kuazia for ya 29 mpaka one.na tpdf oljoro watasoma majina kuazia tarehe 17 kwa hiyo Kama una mtu omba Sana akusaidie hizi nafasi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
tarehe 17 mwezi upi?!Vikosini tayari wametangaziwa form for kuazia for ya 29 mpaka one.na tpdf oljoro watasoma majina kuazia tarehe 17 kwa hiyo Kama una mtu omba Sana akusaidie hizi nafasi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hii ni polisi Jw wao si waloshatoa bado majobu tuu ndio hadi leoHii ni kwa police tu sifkirii Kama inahusiana na Jwtz au sivo waungwana?
Walichukua ile awamu ya kwanza mwaka huu...naona awamu hii wametuweka pembenikwahiyo hawachukui wenye bachela mwaka hiu
Asilimia kubwa vyombo vya ulinzi na usalama huwa wanakujaga kwa kufuatana eg.Watakuja polisi kma hivo tayari,JW(Hapa nahisi wataita wale waliombaga wanaosubiria majibu),Uhamiaji, na n.k so probably JW mwez wa nane wataanza kuita watu kwenye usaili makambini.Hii ni kwa police tu sifkirii Kama inahusiana na Jwtz au sivo waungwana?
Jw tarehe 17 watasoma majina na vijana waliopo vikosini watahusika wataenda mojakwamoja oljoroAsilimia kubwa vyombo vya ulinzi na usalama huwa wanakujaga kwa kufuatana eg.Watakuja polisi kma hivo tayari,JW(Hapa nahisi wataita wale waliombaga wanaosubiria majibu),Uhamiaji, na n.k so probably JW mwez wa nane wataanza kuita watu kwenye usaili makambini.
KIKUBWA KULINDA DAMU.
Usikate tamaa Mungu awe pamoja naweJw sina nguvu huko
Haki away ni ccmWaliotangaza nafasi za kazi ni jeshi la Polisi au ni CCM?🤡🤡🤡
View attachment 1897086
Hapo sawa ni kutunza Damu tuJw tarehe 17 watasoma majina na vijana waliopo vikosini watahusika wataenda mojakwamoja oljoro
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app