Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Yatatoka Kwa pdf au vpJw tarehe 17 watasoma majina na vijana waliopo vikosini watahusika wataenda mojakwamoja oljoro
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jw hawatogi pdf ni simu mara nyingiYatatoka Kwa pdf au vp
Anko umekosea jukwaa hili si la siasa samahani lakiniHii kazi nayo imejaa machoko unakuja kutesa raia kisa nini ushurutishaji CCM popote mlipo Mungu anawaona toa nafasi kuanzia miaka ya 2010 nakuendelea unadhani wao pia hawastahili kupata kazi 🤣🤣
Okay poa AsanteJw hawatogi pdf ni simu mara nyingi
Samahani nauliza wanatuma SMS au wanapiga call moja Kwa moja nakama call watu niwengi hii imekaajeJw hawatogi pdf ni simu mara nyingi
Kozi zote za RTS sasa hivi ni msata hakuna kozi OljoroVikosini tayari wametangaziwa form for kuazia for ya 29 mpaka one.na tpdf oljoro watasoma majina kuazia tarehe 17 kwa hiyo Kama una mtu omba Sana akusaidie hizi nafasi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ata mimi sijafikisha ujumbe kwa jukwaa la siasa hivyo imefika ktk sector husika pia kwa mliotoa taarifa ya kaziAnko umekosea jukwaa hili si la siasa samahani lakini
Kwa waliopo vikosini zinatumwa SMS,Kwa waliopo majumbani wanapigiwa simu,Hata watu wakiwa buku wanapigiwa simu.Samahani nauliza wanatuma SMS au wanapiga call moja Kwa moja nakama call watu niwengi hii imekaaje
Duh poa kamandaKwa waliopo vikosini zinatumwa SMS,Kwa waliopo majumbani wanapigiwa simu,Hata watu wakiwa buku wanapigiwa simu.
Maelekezo hamnaWatu hawana mzuka sahizi
hahahahahaha wajuba amjakata jwtz tamaa ajira toka wa tatu waite watu saizi zilikua siasa hili raia wajue jeshi linaajiri kumbe mtoto wa maskini kupata ajira ya jeshi ukaombe kwa raisi bila hvo ndgu zako wawe maconol au mameja pale ngomeKwa waliopo vikosini zinatumwa SMS,Kwa waliopo majumbani wanapigiwa simu,Hata watu wakiwa buku wanapigiwa simu.
Vijana wataitwa kweli mkuu na sio siasa.hahahahahaha wajuba amjakata jwtz tamaa ajira toka wa tatu waite watu saizi zilikua siasa hili raia wajue jeshi linaajiri kumbe mtoto wa maskini kupata ajira ya jeshi ukaombe kwa raisi bila hvo ndgu zako wawe maconol au mameja pale ngome
Jamaa wa ikuru........
Msalimie mama SamiaNina jambo langu na jamaa wa Ikuru
Omba as longest kuomba ni bureDah! Mi nipo chuo mwaka wa pili na nilipita jkt kwamujibu. Natamani kuomba hii nafazi ya police kwa cheti cha form four sijui itakuaje!?
Yah ngoja nijaribu kuomba ikitiki nasimama chuo naenda kupambania nafasiOmba as longest kuomba ni bure