mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
mbwembwe zipi mzee? mbona una leta roho nyeusiMzee mbwembwe zote zile uhamiaji ukwenda hii nchi nguma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbwembwe zipi mzee? mbona una leta roho nyeusiMzee mbwembwe zote zile uhamiaji ukwenda hii nchi nguma sana.
Majina ya waliochaguliwa unaulizia ?Wakuu, Magereza vp mboni kimya snaa??
Uongo upo wap hapo ??Unatupanga sana hiv kuna faida gan unapata?
Bachelor, jamaa wa ikuru vipi lonja zao lini wanakuja nao[emoji848][emoji848]Uongo upo wap hapo ??
Akikujibu utanishtua npo nakula korosho na ndizi mbivuBachelor, jamaa wa ikuru vipi lonja zao lini wanakuja nao[emoji848][emoji848]
[emoji109][emoji109] haya sawa [emoji3][emoji3]Akikujibu utanishtua npo nakula korosho na ndizi mbivu
Ndio, Wale waliofanya usaili mwezi uliopita Makao Makuu ya MagerezaMajina ya waliochaguliwa unaulizia ?
Bado .mwezi huu ukiisha pdf halijaachiwa basi mwezi ujao maana wale waliotangulia hawajaanza ninavyoskiaNdio, Wale waliofanya usaili mwezi uliopita Makao Makuu ya Magereza
Wako wapi tena nn kinaendelea tuambizaneJeiwiiii hawa hapa..kama hauna mbanga ndio basi tena..[emoji19]
Wametoa nafasi?Jeiwiiii hawa hapa..kama hauna mbanga ndio basi tena..[emoji19]
Simu soon zinaanza kupigwa boss.Wako wapi tena nn kinaendelea tuambizane
Duh poa Mzee babaSimu soon zinaanza kupigwa boss.
naskia washaanza huko
wewe jamaa si ndio ulikuwa mjuaji wa uhamiaji ukawa unabishana sana na jamaa mmoja unasema uhamiaji kuna hela kuliko police jamaa unakubishia ukawa unaaminia uhamiaji na kusema lazima uingie chomboni safari hii kukuuliza imekuwa nongwa.mbwembwe zipi mzee? mbona una leta roho nyeusi
To be honest,,we jamaa umepambanaa sanaa ajira za majeshi hizii toka enzi za kina MrGeneous, aisee mungu akupe kilicho bora kwako..wewe jamaa si ndio ulikuwa mjuaji wa uhamiaji ukawa unabishana sana na jamaa mmoja unasema uhamiaji kuna hela kuliko police jamaa unakubishia ukawa unaaminia uhamiaji na kusema lazima uingie chomboni safari hii kukuuliza imekuwa nongwa.
kweli bongo wachawi wengi!wewe jamaa si ndio ulikuwa mjuaji wa uhamiaji ukawa unabishana sana na jamaa mmoja unasema uhamiaji kuna hela kuliko police jamaa unakubishia ukawa unaaminia uhamiaji na kusema lazima uingie chomboni safari hii kukuuliza imekuwa nongwa.
Aise chansi ya jkt WA kujitolea utangazwa au?Miezi 4