mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Noted champ, acha tupush agenda hizi kimya kimya kwa sasa@mfwende sawadogo mtu poa nipo nae kwenye uzi wa utumishi kule
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted champ, acha tupush agenda hizi kimya kimya kwa sasa@mfwende sawadogo mtu poa nipo nae kwenye uzi wa utumishi kule
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Jw kuanzia tarehe 14 mkuu ndo wataanza kuita ikipita kimya hapo ndo tufikirie labda mwez wa tisa hukohkama nauona wa 8 unavoenda kuishia
OrodhaKwa Wataalam Tu, MT wameachia Majina ya watu 200 tu
Majeshi hayaelewekiduuuuh Mamaee mbona wachache wakati waliita kama.1250
sio kirahis hivoNilitoa ushauri humu kua watu wenye fani ya diploma ya dental waende msalato hatakama hawajaitwa,,,,
Maana wale walioitwa wamepata tamisemi na wameenda..
Matokeo yake mkeka umetoka hakuna hata mtu wa dental alieitwa sababu hawakuwepo kwenye usaili..
Wakuu mbona ajira za polisi Zanzibar wametoa na degree like education, law , geography , accountancy ,it etc lakin tanzania bara ni diploma tu na certificate na form 4 hii imekaaje
Bora useme wewe mkuuTo be honest,,we jamaa umepambanaa sanaa ajira za majeshi hizii toka enzi za kina MrGeneous, aisee mungu akupe kilicho bora kwako..
Sio makosa yake,vijana wamepagawa na ndoige za kukosa kazi.Punguza ujuaji kijana, binafsi nimekua nakufuatilia sana na hii ndio inakuponza sana
Msisahau zile 21% ya ajira huko Zanzibar.Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma[emoji116]
View attachment 1897057View attachment 1897058
Uzi ulikuaga wa moto huu...ila nahisi wengi walishachomoka kipindi kilee...Bora useme wewe mkuu
Ile magufuri kafa tu ajira zinaanza kumwaga 2021 ile huu uzi tumeanza nao....Hakuna jeshi ambalo limetangaza kazi nikaacha kuomba
Sa hv nikisikia ajira yoyote ya jeshi naipitia mbali kama naaga maiti....
Sure,baadhi walipata nafasi ila wengine tumabaki kuwa wapenzi watizamaji.Uzi ulikuaga wa moto huu...ila nahisi wengi walishachomoka kipindi kilee...
Ndio maana sahv umepoa uzi
hahaa duuhHatimaye