MATIC_
Member
- Mar 15, 2023
- 93
- 155
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata polisi nao si wapo mafunzo ila wametoaHao si bdo wako kwenye mafunzo kaka
Polisi niliskia wanaenda kuongeza idadi tu hawataki watu wengi hivi ni kweli? au ni ronja tu za wanahata polisi nao si wapo mafunzo ila wametoa
Hata mimi nilisikia wanahitajika wachache sana,ila hawa ni kitengo maalumu kipya kitakuwa kikifanya kazi nje ya polisi,navyosikia japo uhakika wa taarifaPolisi niliskia wanaenda kuongeza idadi tu hawataki watu wengi hivi ni kweli? au ni ronja tu za wana
Wakuu mpo kmya sana uhamiaj nimeskia wanakuja december na polisi possible ni January ila ronja tu Kun mwana ana mkubwa wak huko yy ni mkufunzi wa pt ila kaambiwa hivoHata mimi nilisikia wanahitajika wachache sana,ila hawa ni kitengo maalumu kipya kitakuwa kikifanya kazi nje ya polisi,navyosikia japo uhakika wa taarifa
Safari hii uhamiaji ntaenda hata kwa waganga[emoji23]Wakuu mpo kmya sana uhamiaj nimeskia wanakuja december na polisi possible ni January ila ronja tu Kun mwana ana mkubwa wak huko yy ni mkufunzi wa pt ila kaambiwa hivo
Pt wanakujaa tena au umemanisha hawa waliotuma maombi ya juzi kati ndo wataenda mwezi wa 1Wakuu mpo kmya sana uhamiaj nimeskia wanakuja december na polisi possible ni January ila ronja tu Kun mwana ana mkubwa wak huko yy ni mkufunzi wa pt ila kaambiwa hivo
Hawa kwa taarifa nilizoziskia wanahitajika kidogo just kuongeza ila wanavosem watakuja tena nilimskia mwana kaambiwa na mbanga yake kwa hio atulie kwanzaPt wanakujaa tena au umemanisha hawa waliotuma maombi ya juzi kati ndo wataenda mwezi wa 1
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
JW pamepoa mmh kwema kweliHawa kwa taarifa nilizoziskia wanahitajika kidogo just kuongeza ila wanavosem watakuja tena nilimskia mwana kaambiwa na mbanga yake kwa hio atulie kwanza
Mkuu tupe za ndan nakumbuk ulicoment ktk Uzi huu kua polisi watakuja tena mwez wa 8 na walikuja kwel ila wa 7 mwshon tupe ronja nyingine bas[emoji120]JW pamepoa mmh kwema kweli
Yeah ni kwelii nilisema wanakuja pia JW inabid waje huu wa nane ila naona kimya sana but wait niingie kwenye mfumo wangu wa habari thn nitakuja na jibu kuhus JW na kuhusu uhamiaji hamna jipya kwa sasa ila nimesikia zimamoto wanatak kuongeza watu sasa sijui kweliiMkuu tupe za ndan nakumbuk ulicoment ktk Uzi huu kua polisi watakuja tena mwez wa 8 na walikuja kwel ila wa 7 mwshon tupe ronja nyingine bas[emoji120]
Shusha lonja mkuu..Yeah ni kwelii nilisema wanakuja pia JW inabid waje huu wa nane ila naona kimya sana but wait niingie kwenye mfumo wangu wa habari thn nitakuja na jibu kuhus JW na kuhusu uhamiaji hamna jipya kwa sasa ila nimesikia zimamoto wanatak kuongeza watu sasa sijui kwelii
Hahahha hadi nimecheka chief...
kitengo maalumu kivipi chief?Hata mimi nilisikia wanahitajika wachache sana,ila hawa ni kitengo maalumu kipya kitakuwa kikifanya kazi nje ya polisi,navyosikia japo uhakika wa taarifa
Leo nimepata habari njema naomba ziwe habari za kweli na ziwe za haki adi kwa upande wa watu wa mtaani ipo iviMwezi wa8 ñdio huu any update