Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Jeiwiiii hawa hapa..kama hauna mbanga ndio basi tena..[emoji19]
 
mbwembwe zipi mzee? mbona una leta roho nyeusi
wewe jamaa si ndio ulikuwa mjuaji wa uhamiaji ukawa unabishana sana na jamaa mmoja unasema uhamiaji kuna hela kuliko police jamaa unakubishia ukawa unaaminia uhamiaji na kusema lazima uingie chomboni safari hii kukuuliza imekuwa nongwa.
 
wewe jamaa si ndio ulikuwa mjuaji wa uhamiaji ukawa unabishana sana na jamaa mmoja unasema uhamiaji kuna hela kuliko police jamaa unakubishia ukawa unaaminia uhamiaji na kusema lazima uingie chomboni safari hii kukuuliza imekuwa nongwa.
To be honest,,we jamaa umepambanaa sanaa ajira za majeshi hizii toka enzi za kina MrGeneous, aisee mungu akupe kilicho bora kwako..
 
wewe jamaa si ndio ulikuwa mjuaji wa uhamiaji ukawa unabishana sana na jamaa mmoja unasema uhamiaji kuna hela kuliko police jamaa unakubishia ukawa unaaminia uhamiaji na kusema lazima uingie chomboni safari hii kukuuliza imekuwa nongwa.
kweli bongo wachawi wengi!

pdf la mwisho nilivochapika ,nilitarifu mapoti humu hukuwepo mzee?

hainistui sana roho za kitanzania nazijua .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…