Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hata mimi nilisikia wanahitajika wachache sana,ila hawa ni kitengo maalumu kipya kitakuwa kikifanya kazi nje ya polisi,navyosikia japo uhakika wa taarifa
Wakuu mpo kmya sana uhamiaj nimeskia wanakuja december na polisi possible ni January ila ronja tu Kun mwana ana mkubwa wak huko yy ni mkufunzi wa pt ila kaambiwa hivo
 
Mkuu tupe za ndan nakumbuk ulicoment ktk Uzi huu kua polisi watakuja tena mwez wa 8 na walikuja kwel ila wa 7 mwshon tupe ronja nyingine bas[emoji120]
Yeah ni kwelii nilisema wanakuja pia JW inabid waje huu wa nane ila naona kimya sana but wait niingie kwenye mfumo wangu wa habari thn nitakuja na jibu kuhus JW na kuhusu uhamiaji hamna jipya kwa sasa ila nimesikia zimamoto wanatak kuongeza watu sasa sijui kwelii
 
Mwezi wa8 ñdio huu any update
Leo nimepata habari njema naomba ziwe habari za kweli na ziwe za haki adi kwa upande wa watu wa mtaani ipo ivi

JW inasemekana wiki ijayo wanakuja

Ila inasemekana majina tayari kila kitu sasa apa nimejaribu kuuliza why majina tayari jee ayo majina yalio kua tayari ni yale ya watu walio tuma maombi kipindi mumetanga ajira

Hakunipa jibu zaidi yakusema wew jua majina tayari na wiki ijayo mambo yananza

Nikauliza tenna vipi wakija wanakuja na majina tuuh au watachukua na watu wengine

Akasema kua lazima wachukue na watu wengine sasa sijui ao wengine ni watu gani

Ivyo basi now anzeni kuongea na mbanga zenu vizuri na muwe tayari kwa chochote


NB: kesho nitakuja na habari za kuhus kuja kuchukua na wale waa nnje ya kambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…