Sawa mkuu nimekuelewaWakati wa mafunzo mwili ni mali ya wakufunzi wanaokufundisha wewe mali yako ni roho tu
[emoji23][emoji23]hii kauli kama unaroho ndoto unaogopa kwendaWakati wa mafunzo mwili ni mali ya wakufunzi wanaokufundisha wewe mali yako ni roho tu
Acha habari zako kijana kuandaa mwili maana yake jiandae kwa kazi ngumuShukrani kwa lonja mkuu.
Alafu hii "Utaandalie na mwili" ulikua una maana gani hapa?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ilore nimekupata.Acha habari zako kijana kuandaa mwili maana yake jiandae kwa kazi ngumu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hawana Job advertisement Ila wao ndio wanakutafuta.Hivi tiss mfumo wao wa kuajiri upoje?
Hivi tiss mfumo wao wa kuajiri upoje?
Taarifa njema sana.Wale wa polisi mzigo huo,Wale wa JWTZ msikilizie kuanzia Septemba 27 mpka october hapoView attachment 2762153
ndio mbaga tu mkuuUnaweza kwenda mafunzo ya polisi kama hujapitia JKT au JKU??
Mbona ni wachache?Wale wa polisi mzigo huo,Wale wa JWTZ msikilizie kuanzia Septemba 27 mpka october hapoView attachment 2762153
Mkuu inawezekana kweli au maneno [emoji23]ndio mbaga tu mkuu
Yote yanawezekana kijana hakuna linaloshindikana ukipata nyenzo, alifanya kozi hivi juzi tu na mtu anakisukari naakawa anapewa diko lake tofauti akamaliza ni MTM .Mkuu inawezekana kweli au maneno [emoji23]
ilibid leo watoe majina jwWale wa polisi mzigo huo,Wale wa JWTZ msikilizie kuanzia Septemba 27 mpka october hapoView attachment 2762153
Kuanzia kesho ni kivumbi sio.?Wale wa polisi mzigo huo,Wale wa JWTZ msikilizie kuanzia Septemba 27 mpka october hapoView attachment 2762153
Watu wana nyenzo jamani,kah![emoji28]Yote yanawezekana kijana hakuna linaloshindikana ukipata nyenzo, alifanya kozi hivi juzi tu na mtu anakisukari naakawa anapewa diko lake tofauti akamaliza ni MTM .
Kwa pdf au
Hizi ndio zile 2000 mbon kidogoWale wa polisi mzigo huo,Wale wa JWTZ msikilizie kuanzia Septemba 27 mpka october hapoView attachment 2762153