Mkuu na vipi kuhusu wale military science form six wa mujibu nao watakua humo au??Nipo hapa kuthibitisha kua jeiwii wanakuja mwezi huu kuchukua watu wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhakika watakuja?Nipo hapa kuthibitisha kua jeiwii wanakuja mwezi huu kuchukua watu wao.
Sent using Jamii Forums mobile ap
Yeah!! Kutokana na lile tangazo lao la Mwezi wa 6 la kuchukua watu kutokea uraiani,,sasa ndio wataitwa kwa ajili ya mafunzo.Leta maneno....
Sidhani mkuu,nahisi wao watapiga kozi tofauti na hawa na hata kambi pia nahisi zitakua tofauti.Mkuu na vipi kuhusu wale military science form six wa mujibu nao watakua humo au??
Lonja kali sana wacha tuone itakuwajeYeah!! Kutokana na lile tangazo lao la Mwezi wa 6 la kuchukua watu kutokea uraiani,,sasa ndio wataitwa kwa ajili ya mafunzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sasa JKT mwisho n tarehe 4 wale wa mkatabaNipo hapa kuthibitisha kua jeiwii wanakuja mwezi huu kuchukua watu wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii haina uhusiano wowote na JKTMbona sasa JKT mwisho n tarehe 4 wale wa mkataba
NGOJA WAJE WAJUVIMkuu Ndege Tai wanarudi lini Hawa jamaa tuanze kutafuta connection maana Ndoige za polisi zilikuwa sio poa
MZEE USINISAHAU KWENYE UFALME WAKOLonja kali sana wacha tuone itakuwaje
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]hii kubwa sana kakaMZEE USINISAHAU KWENYE UFALME WAKO
Jw kuchukua uraiani ngoja tusubiri muda utaongea[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]hii kubwa sana kaka
Mkuu hv uhamiaji watarudi mwaka huu?Jw kuchukua uraiani ngoja tusubiri muda utaongea
Kaka hilo sifahamu aiseMkuu hv uhamiaji watarudi mwaka huu?
Wanachukua kaka sema ndo kimya kimyaJw kuchukua uraiani ngoja tusubiri muda utaongea
Kama tu ZT na PT wanatupapasa mapema sana kwenye usahili...JW tutapata kweliWanachukua kaka sema ndo kimya kimya
Hahahaha kikubwa kuomba Mungu Kaka lolote linaweza tokea japo ki uhalisia uwe na mbanga wa kueleweka...Kuna jamaa nilisoma nae aliwahi nambia wa kutoka uraiani wapo sana tu ila sasa issue kupata mtu sahihiKama tu ZT na PT wanatupapasa mapema sana kwenye usahili...JW tutapata kweli
Bajeti ipo tayari sema Kuna ujenzi wa nyumba 5000 msomela Tanga Sasa hapo ndo sjajua maana wanaitajika vijana wa jkt Kama 6000 hivi kwenda kuzijenga....hapo sjajua kwa wakubwa huko Wana mjadala gani
Hizo za ujenzi Sio za kuzizingatia sana maana hazina ahadi, kuna shemeji yangu wa op samia walikuwepo huko wamejenga na wameondoka.Bajeti ipo tayari sema Kuna ujenzi wa nyumba 5000 msomela Tanga Sasa hapo ndo sjajua maana wanaitajika vijana wa jkt Kama 6000 hivi kwenda kuzijenga....hapo sjajua kwa wakubwa huko Wana mjadala gani