Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kama tu ZT na PT wanatupapasa mapema sana kwenye usahili...JW tutapata kweli
Hahahaha kikubwa kuomba Mungu Kaka lolote linaweza tokea japo ki uhalisia uwe na mbanga wa kueleweka...Kuna jamaa nilisoma nae aliwahi nambia wa kutoka uraiani wapo sana tu ila sasa issue kupata mtu sahihi
 
Bajeti ipo tayari sema Kuna ujenzi wa nyumba 5000 msomela Tanga Sasa hapo ndo sjajua maana wanaitajika vijana wa jkt Kama 6000 hivi kwenda kuzijenga....hapo sjajua kwa wakubwa huko Wana mjadala gani
Hizo za ujenzi Sio za kuzizingatia sana maana hazina ahadi, kuna shemeji yangu wa op samia walikuwepo huko wamejenga na wameondoka.
 
Back
Top Bottom