Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mikoa mingi wanapiga simu mfano mkoa wa Manyara bado wanapiga simu na kutuma ujumbe mfupi kwa wasailiwa....Kama upo karibu na Ofisi ya RPC ulipo omba nenda kacheki au Kama upo mbali mtume mtu akakuchekie NOTE kuanzia tarehe 30 usahili
 
Kumiliki gari kwa sasa ni ghali
Assume
Makato ya mkopo wa gari 350,000/-
Mafuta 300,000
Hapo labda uwe na kipato Cha kuanzia 3m ndio hutaona makali ya makato
Kwa sisi wanaume sawa ila wanawake tena awe mrembo unakuta ana wanaume hata watatu kila weekend anawekewa full tenk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…