BLACKLIST 12
Senior Member
- Aug 28, 2022
- 128
- 100
Majina yako tayari bado kubandika tu...kuna mwanangu mbuyu wake umemwambia tayari uko short listed io ilikuwa last Saturday
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo mwamba ataenda usahili kama geresha tu 😀Majina yako tayari bado kubandika tu...kuna mwanangu mbuyu wake umemwambia tayari uko short listed io ilikuwa last Saturday
Acha kabisa kaka, kuna watu wana bahatiKwahyo mwamba ataenda usahili kama geresha tu 😀
mkuu sema chochoteUzi haupaswi kupoa huu, Kidogo unafariji
hahaha sasa unashindwaje kumpiga swaga uwe unakumbushia maramoja mojaEx wangu kaula mwezi ulio pita saiv ni askari wa Migration yule mbwa aachi kunipiga madongo [emoji856].
usichelewe akianza tu kutembelea ist na kumiliki iphone nzuri ataanza dharauEx wangu kaula mwezi ulio pita saiv ni askari wa Migration yule mbwa aachi kunipiga madongo [emoji856].
Kumiliki gari kwa sasa ni ghaliusichelewe akianza tu kutembelea ist na kumiliki iphone nzuri ataanza dharau
Ex wangu kaula mwezi ulio pita saiv ni askari wa Migration yule mbwa aachi kunipiga madongo.![]()
Mrejeshe afu tia mimbaEx wangu kaula mwezi ulio pita saiv ni askari wa Migration yule mbwa aachi kunipiga madongo [emoji856].
Mwenyezi atusaidiemkuu sema chochote
😂man wangu pale kwenye usaili saanyingine unatamani ata kulia...watu wanakuja kusign tuKwahyo mwamba ataenda usahili kama geresha tu 😀
Hii sio hakiKwahiyo tuliopata ufaulu wa daraja la I na II haturuhusiwi kuomba ama!
Kwa sisi wanaume sawa ila wanawake tena awe mrembo unakuta ana wanaume hata watatu kila weekend anawekewa full tenkKumiliki gari kwa sasa ni ghali
Assume
Makato ya mkopo wa gari 350,000/-
Mafuta 300,000
Hapo labda uwe na kipato Cha kuanzia 3m ndio hutaona makali ya makato
hivyo hivyo unapiganisha hakuna muda wa kulalamika😂man wangu pale kwenye usaili saanyingine unatamani ata kulia...watu wanakuja kusign tu