Kwa muhindi hakuna helaUmeanza kupata hela ww
Vijana washaapa siyo??Baadhi ya vjana by age wanaonekana ni wadogo sana ila wametoka kuapa mbele ya mnadhimu mkuu wa jeshi.Next intake ianze kujiandaa mambo yapo karibu.
intake inayofuata inaweza kuwa lini mkuuBaadhi ya vjana by age wanaonekana ni wadogo sana ila wametoka kuapa mbele ya mnadhimu mkuu wa jeshi.Next intake ianze kujiandaa mambo yapo karibu.
Yaaah nusu saa nyumaVijana washaapa siyo??
Sijajua kakaintake inayofuata inaweza kuwa lini mkuu
Hatujaelewa chief fafanua!!Kuna wana wanapigiwa simu wanaelekea Ruvu!?
Fafanua kiongoziKuna wana wanapigiwa simu wanaelekea Ruvu!?
Alooo..kumbe.Nina wana wawili wamepigiwa sim wanaelekea Ruvu.. sasa sielew n issue gan au wanakusanyika tuu pale af wanatembea.. mwisho kwenda n kesho 29/10
Inawezekana ni jkt kwa kujitolea (Baba kanituma), Mara nyingi usaili huwaga unafanyikia ruvu ...Kuna rafiki angu kanambia na yeye leo alimpeleka mdogo akeNina wana wawili wamepigiwa sim wanaelekea Ruvu.. sasa sielew n issue gan au wanakusanyika tuu pale af wanatembea.. mwisho kwenda n kesho 29/10
Siku hizi mambo yanavyoenda aise ...ukiwa nje ya duara utabakia kulalama tuInawezekana ni jkt kwa kujitolea (Baba kanituma), Mara nyingi usaili huwaga unafanyikia ruvu ...Kuna rafiki angu kanambia na yeye leo alimpeleka mdogo ake
Hao wanaoenda ruvu nini baba kantuma wa jkt kujitolea Kama unahitaji unaweza kuzama ila uwe mjanja muleSiku hizi mambo yanavyoenda aise ...ukiwa nje ya duara utabakia kulalama tu
Kujitolea tena boss 2 years halfu huna nguvu..nitapapaswa sana hapo baadaeHao wanaoenda ruvu nini baba kantuma wa jkt kujitolea Kama unahitaji unaweza kuzama ila uwe mjanja mule
Majina tayar wa vikosini tayar wamepewa majina yaoKwamba majina ya usaili yametoka au unamaanisha nini
Mkuu punguza Mteru.Wakuu mbona mko kimy vip uko polisi kuna Wana wamebahatik? naon hakun mrejesho