Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nina wana wawili wamepigiwa sim wanaelekea Ruvu.. sasa sielew n issue gan au wanakusanyika tuu pale af wanatembea.. mwisho kwenda n kesho 29/10
Inawezekana ni jkt kwa kujitolea (Baba kanituma), Mara nyingi usaili huwaga unafanyikia ruvu ...Kuna rafiki angu kanambia na yeye leo alimpeleka mdogo ake
 
Wakuu mbona mko kimy vip uko polisi kuna Wana wamebahatik? naon hakun mrejesho
Mkuu punguza Mteru.

Hamna sehemu yenye mapuuza kama PT.

Usahili wa professional mnaweza mkaitwa 2500+ ila wakachukua watu wao 100 tu tena wenye maelekezo mazito shida yao wawapige 10k za vipimo tu..

Kikubwa andaa 'mifumo' na wewe upenye.
 
Back
Top Bottom