BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Nipe kazi ya ualimu mwalimu mkuu.Hahaa mzee mi najuaga ni hvyo, sababu kuna watu waliingia naona walifanikiwa, mm nilizaliwa ili niwe mwalimu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe kazi ya ualimu mwalimu mkuu.Hahaa mzee mi najuaga ni hvyo, sababu kuna watu waliingia naona walifanikiwa, mm nilizaliwa ili niwe mwalimu mkuu.
Cyo wote wanapata kaka wengine mikataba inaisha wanarudi kitaaMzee hv mtu ukiingia jkt ya kujitolea unawezaje kukosa kaz, jw,pt,MT?
vijana wa St. Peter na makumbusho lonja sipoje mkuuJana Makamanda 3000+ walimaliza intake ya 41 pale Kihangaiko mbele ya Mkuu wa utawala jeshini Meja Jenerali Marco Kaguti.
Intake iliingia Mei mosi ikamaliza jana.
Hivyo basi wale watu mambo yashaanza kuiva hivyo.. kwahiyo mambo soon yanajipa.
Katika siku kama hizi watu wengi hua wanatapeliwa kwahyo tuwe makini makamanda.
Hawaendi PT? wana mibuyu minene sana basiDahhh tutafika tu mkuu mm kuna wana nimewaskia hawaend kabisa Wana maelekezo kutoka juu
Maumivu ni makali man, tusikate tamaaUzi umepoa kwa sasa watu wamekata tamaa majeshi hayaelewek ni mwendo wa maelekezo tu kutoka juu ila watoto wa maskin ndio tunaumia aisee
kuna muda unatamani kaka yako angeoa mtoto kutoka familia ya JOHN MKUNDA😃😃😃😃😃😃Hawaendi PT? wana mibuyu minene sana
mwakani hali ikiendelea hivi nitongoze hata mkuu wa wilaya mmoja mzuri mzuri nimuahidi NDOA ili anihakikishie nafasi hata ya magereza😃Maumivu ni makali man, tusikate tamaa
One brings onevijana wa St. Peter na makumbusho lonja sipoje mkuu
DAaa, hatar mzee, lakn mkataba ukiisha s unaweza force ubaki kule had nafas zitokeCyo wote wanapata kaka wengine mikataba inaisha wanarudi kitaa
Hasira hasara Mzee baba soon Mambo yatakua SawaKmmk me na majeshi basi🚮
HahahaKmmk me na majeshi basi🚮
Chief yamekufany nn au ndoigdKmmk me na majeshi basi[emoji706]
ukiona hivyo ujue hamna mapyaUkimya umetawala humu ndani
Duh so poaukiona hivyo ujue hamna mapya
Oyaa! Kuna wakati huwa nafikiria Mungu anaupendeleo kwa baadhi ya wanadamu. Sisi watoto wa mafukara, mifumo haitujui japo tuna uwezo mkubwa tu.kuna muda unatamani kaka yako angeoa mtoto kutoka familia ya JOHN MKUNDA[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Afadhali wewe, unaweza kuinteract hata na hao mkuu. Sisi wengine kukutana na huyo mkuu wa wilaya ni mpaka itokee sherehe ya mwenge ndio anaonekana mtaani kwetu. Sema roho inauma sana kuwa mnyonge kiasi hiki.mwakani hali ikiendelea hivi nitongoze hata mkuu wa wilaya mmoja mzuri mzuri nimuahidi NDOA ili anihakikishie nafasi hata ya magereza[emoji2]
Basi huko, tupaache man, ni kwa mibuyu minene sanaOne brings one