Vp mkuu mtaa wa moto😂😂😂Mi sielewi mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp mkuu mtaa wa moto😂😂😂Mi sielewi mtaani
NichekiMkuu umeomba?
Tena umepoa Sana watu wapo kimya hakuna update yoyoteUzi umepoa kinoma aise
Watu wameshatoboa mzee wengi waliokuwepo humu wapo kozi saivi hususani polisi.Uzi umepoa kinoma aise
Kila la kheri kwa wote walioombaTupo busy na uhamiaji
Itakua kwel aise Kun mfwende sawadogo alikua anatoa lonja San hum za utWatu wameshatoboa mzee wengi waliokuwepo humu wapo kozi saivi hususani polisi.
Wengine wapo vyomboni wengine Wapo humu humu ila saivi wapo bize kutafuta connectionWapo wapi
Tena umepoa so poa hata wale wapambanaji tulowazoea skuizi hatuwaoni tenauzi umepooza sana
Ndio ushakufa tenaHuu uzi enzi zake kipindi kama hiki ajira za majeshi zinatoka vijana tulikuwa tunapeana madini tu daah sahivi ni kama vile unaelekea kufa.
[emoji23]unawapanikisha watuWengine tupo kweny usahili MAGEREZA SASA hivi
Watu Wana mteru wa uhamiaji mana wametoa tangazo la watu kutapeliwaHahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila connection hizi kazi hupati. Unatakiwa utafutwe connection.Wengine wapo vyomboni wengine Wapo humu humu ila saivi wapo bize kutafuta connection
Hawajataja idadi mzeeUhamiaji wanaajiri WATU wengi wamesema