Course imeshapigwa stop na maafisa wamesharejea zao makazini....Kuhusu course kuw mwakan January hii kitu nimesikia sikia kutoka kwa muhusika mmoja hivi ambaye alinipa taarifa kuwa CCP kuna course nyingine ya maofisa ambayo ilitakiwa kufanyika kwa miez mi4 kuanzia mwezi huu ila ilipigwa stop ili intake ya police wapya ifanyike lakini bado conclusion haijafikia mwisho lolote laweza kutokea..kama wakiamua kuiendeleza basi polisi wapya wataenda mwakan... otherwise tusubir lolote laweza kutokea.
PDF muda Wowote hapo ahahaahahCourse imeshapigwa stop na maafisa wamesharejea zao makazini....
Yeah, coz Leo ni siku ya 3 tangu maafisa warejee kutoka CCP, so muda wowote majina yataachiwaPDF muda Wowote hapo ahahaahah
Notification ya PT ,JF Na Kila kitu muda Wowote hahahahahaBasi intake mpya itaenda if what u are saying is true
Pesa zipiUhamiaji nimetuma ila najua pesa zangu zimeenda bure kabisa.
Mkuu hivi canal wa jeshi anaweza fanya mambo kweli huko TPDF?Baba K wapo hadi kwa wazee wa Makumbusho Kaunda sembuse chama la wana?
Usikate tamaa mzeeUhamiaji nimetuma ila najua pesa zangu zimeenda bure kabisa.
Wale wa PT get ready
Usikate Tamaa ,Kwanini useme hivyo pia?Uhamiaji nimetuma ila najua pesa zangu zimeenda bure kabisa.
Swali panaPesa zipi
Swali kama hili sio la kuuliza hvMkuu hivi canal wa jeshi anaweza fanya mambo kweli huko TPDF?
Lonja Ni kaa mguu sawaUsikate Tamaa ,Kwanini useme hivyo pia?
Hahahahaha liniLonja Ni kaa mguu sawa
Hata private anaweza fanya mambo ni vipi yuko karibu na ua waridi ndiyo la msingi..Mkuu hivi canal wa jeshi anaweza fanya mambo kweli huko TPDF?
It's colonel, na sio canal mkuuMkuu hivi canal wa jeshi anaweza fanya mambo kweli huko TPDF?
Kanali ni mtu mkubwa sana jeshini... Just imagine yule anayemlinda rais ana cheo cha ukanali... So anaweza fanya kityMkuu hivi canal wa jeshi anaweza fanya mambo kweli huko TPDF?