Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ungekufa wakati wa kozi vilimani kule Monduli.Chuo nlimaliza mkuu but ile chance naijutia kiukweli utoto ulinisumbua kuona Boom la chuo n bora kuliko kwenda kozi ya jeshi ningekuwa na star zangu begani but sahv ndo nahangaika kusaka tena nafasi
Bado unayo nafasi yakufanya vizurChuo nlimaliza mkuu but ile chance naijutia kiukweli utoto ulinisumbua kuona Boom la chuo n bora kuliko kwenda kozi ya jeshi ningekuwa na star zangu begani but sahv ndo nahangaika kusaka tena nafasi
Labda ungekufa wakati wa kozi vilimani kule Monduli.
Unifomu nzuri [emoji28][emoji28][emoji28]Mwenzenu huyu..na hizo ndiyo uniform zenu wakati wote wa kozi.View attachment 1976908
Matumaini makubwa sana na kesho.. j3. Siku ya kazi, siku ya pdf.Leo hamna lonja , embu tuone kesho imekaaje
Natamani huu uzi usife jamani,hata tukikosa hizo nafasi tuendelee kupeana michongo na fursa za miini
UT , mtu anafanyaje maombi?Tupeane mirejesho kwanza pdf zikitoka ili tukaendeleze undugu depo maana naamini watu watagawanyika humu wengine PT,MT,ZT,UT.
Hahahha Sisi ni Ndugu popote pale tulipoTupeane mirejesho kwanza pdf zikitoka ili tukaendeleze undugu depo maana naamini watu watagawanyika humu wengine PT,MT,ZT,UT.
Kwani Deadline bado? Ya Uhamiaji?UT , mtu anafanyaje maombi?
Kwani Deadline bado? Ya Uhamiaji?
Ndio maaana nimemuuliza Mwl hapo Juu,Maana nafahamu haya mambo yaliisha muda mrefu sanaUhamiaji mwisho ilikua tar13 October
Ndio maaana nimemuuliza Mwl hapo Juu,Maana nafahamu haya mambo yaliisha muda mrefu sana
PDF ni presha kupanda,presha kushukaEee yashaisha mkuu...tushasahau sahv twawaza pfd laPT [emoji16][emoji16]na usaili kwa zilizobakia
3k+++ Kwa mujibu wa matangazo yoteHiv jaman hio pdf ya PT yenye pressure inahitaji watu wa ngapi?