bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweliKitamu ila process ya kukivaa ndiyo kipengele,machozi,jasho na damu lazima vihusike..
[emoji23][emoji23][emoji23]Sema vijana mnaopenda majeshi nafasi kama za Suma Guard zikitoka msiache kuomba maana niliwahi kusikia siku za mbeleni nao wataingizwa kwenye vyombo vya ulinzi vya JMT kwahiyo kuwa sawa na vyombo hivi vingine.
Hii ni taarifa au ni Nini?Kesho tarehe 18/10/ 2021 inatimia miezi miwili kamili tangu PT watangaze nafasi za ajira..
ni kumbukizi[emoji23][emoji23]Hii ni taarifa au ni Nini?
Yupo anakuchek. Tu hpa.....Mimi naombeni connection kwa DSO Ilala jamani
Najua hakishindikani kitu humu
Mtumaini Mungu Choo Cha Kulipia nyboma
Kule mpka wakutake ww sio ww upateke.Ninafanya kwenye moja ya Halmashauri kubwa hapa nchini kwaiyo naweza kuwa 'insider' mzuri tu
Imefanyaje1300 tu .
Imejipost si unajua sie watumia tecnoImefanyaje
Hahahahaha ila we JamaaImejipost si unajua sie watumia tecno
Kaen mkao wa kulaHahahahaha ila we Jamaa
Unaleta PDF?Kaen mkao wa kula
PDF ndo nn kamandaUnaleta PDF?
Hapo umesema watu wakae mkao wa kula....Sasa si Unajua watu wanasubiri PDF au unatuzuga tu unataka tukwambie kirefu Cha PDF?PDF ndo nn kamanda