Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Tpdf huwa hawatangazi uraiani wanachukua vibog vyao makambini labda kama una mbanga
Mbona wanatangazaga hata 2018 walitangaza wanataka wenye fani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tpdf huwa hawatangazi uraiani wanachukua vibog vyao makambini labda kama una mbanga
Yaah wanachukua watu maalum mtaani 2018 walichukua madaktari 3000 lakini sahizi wanachukua vijana wa mujib wa sheria wanawasomeshaMbona wanatangazaga hata 2018 walitangaza wanataka wenye fani
Kwani huwa zinatangazwa mkuu? Si nasikia mpaka mtu akushike mkono ndo unaingia hukoKwani nao wametoa nafasi za chombo chao?
Yaah wanachukua watu maalum mtaani 2018 walichukua madaktari 3000 lakini sahizi wanachukua vijana wa mujib wa sheria wanawasomesha
Hazitangazwi,ila zinavujaga kupitia kwa wao wenyewe.Kwani huwa zinatangazwa mkuu? Si nasikia mpaka mtu akushike mkono ndo unaingia huko
Unabisha alafu chini unakubali,kama kuna Askari wengine wameanza kuripoti jana CCP unadhani kozi yao itakuwa wiki? Hao watapiga mpaka Disemba ndiyo kuruta waingie Januari.Katika jambo sipend kusikia humu ni swala la kua et PT wanatoa pdf yao january jambo ambalo halina ukweli kabisa...
Tangazo la kazi mwezi wa 8
Usaili mwezi wa 9
Kuitwa kozi mwezi wa 1.
Ushawahi kuona wapii.. taasisi zote huwa wanajipanga kwenye mtiririko wa matukio hawakurupuki .. hivyo mnaosema kozi jnuary mnajidanganya.
Lonja: Kuanzia jana kuna walio anza kuingia ccp kupiga kozi ya nyota. Wengine tena !!
Kwa hiyo hiyo pdf tuitegemee mwezi wa kumi na mbili au sio?Unabisha alafu chini unakubali,kama kuna Askari wengine wameanza kuripoti jana CCP unadhani kozi yao itakuwa wiki? Hao watapiga mpaka Disemba ndiyo kuruta waingie Januari.
Polisi sasa hivi kuna kozi za askari sehemu mbalimbali,juzi pia wapo Sajenti waliomaliza kozi Morogoro nk.
Basi ukisikia nipe connection mkuuHazitangazwi,ila zinavujaga kupitia kwa wao wenyewe.
Usiwaze mkuu lazima nikushike mkono tule wote keki ya TaifaHapo ww tu ila ukiingia unikumbuke.
Hv wale wanakula mia ngap boss??Kuna waliopita JKT,kuna bakabaka pia na PT na Kaunda wapo pia.
Kama hukuomba omba polis tpdf ujiandae kwa hal na mali maana huku ndio hakuna fomula kabisa unaweza ukashangaa unaona tu kwenye tv kozi inafungwa pale Kihangaiko
Ila mkitangaziwa ombeni mimi mtanikuta na nitawapa ujanja wa pori mtaiva full masinondo no yekeyeke kuangushia koz
View attachment 1978914
TPA pazuri siyo ajabu kukuta Askari anaramba 2m.Hv wale wanakula mia ngap boss??
Wao kuchukua ndo kimyakimyTPA pazuri siyo ajabu kukuta Askari anaramba 2m.
100 tuWao kuchukua ndo kimyakimy
Kuripoti kwa askar ccp hakuzuii kuruti kwenda.. ccp ni kubwa sana. Kuna kilele poli kuna kilimanjaro na n.k.. kuruti anaweza asionane na askari wa kutafta nyota miezi yote ya kozi...Unabisha alafu chini unakubali,kama kuna Askari wengine wameanza kuripoti jana CCP unadhani kozi yao itakuwa wiki? Hao watapiga mpaka Disemba ndiyo kuruta waingie Januari.
Polisi sasa hivi kuna kozi za askari sehemu mbalimbali,juzi pia wapo Sajenti waliomaliza kozi Morogoro nk.