Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Chuo nlimaliza mkuu but ile chance naijutia kiukweli utoto ulinisumbua kuona Boom la chuo n bora kuliko kwenda kozi ya jeshi ningekuwa na star zangu begani but sahv ndo nahangaika kusaka tena nafasi
Labda ungekufa wakati wa kozi vilimani kule Monduli.
 
Chuo nlimaliza mkuu but ile chance naijutia kiukweli utoto ulinisumbua kuona Boom la chuo n bora kuliko kwenda kozi ya jeshi ningekuwa na star zangu begani but sahv ndo nahangaika kusaka tena nafasi
Bado unayo nafasi yakufanya vizur

Mungu yupo pamoja na ww usikate tamaa

Kama ulikataa ni vyema, huwez jua mungu atakuweka wap

Kwanza ulikataa kwasababu ya uchovu wa jkt
 
Natamani huu uzi usife jamani,hata tukikosa hizo nafasi tuendelee kupeana michongo na fursa za miini
 
Natamani huu uzi usife jamani,hata tukikosa hizo nafasi tuendelee kupeana michongo na fursa za miini

Tupeane mirejesho kwanza pdf zikitoka ili tukaendeleze undugu depo maana naamini watu watagawanyika humu wengine PT,MT,ZT,UT.
 
Ndio maaana nimemuuliza Mwl hapo Juu,Maana nafahamu haya mambo yaliisha muda mrefu sana

Eee yashaisha mkuu...tushasahau sahv twawaza pfd laPT [emoji16][emoji16]na usaili kwa zilizobakia
 
Hiv jaman hio pdf ya PT yenye pressure inahitaji watu wa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…