Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kama umeomba nafasi na una ujuzi kama ushonaji au ufundi wa vyombo vya moto,mtaalamu wa mambo ya maabara na uliambatisha vyeti vya ujuzi huo nafasi ya kuitwa kwenye usaili ni zaidi ya 70% hata kama umri wako ni zaidi ya waliouainisha jiandae.

Jeshi la sasa limebadirika siyo lile la zamani enzi zile unachukuliwa tu ila sasa hivi unaangaliwa utalifanyia nini Jeshi?

Mliosoma kozi zile za social science endeleeni tu na maisha mengine.
 
Kama umeomba nafasi na una ujuzi kama ushonaji au ufundi wa vyombo vya moto,mtaalamu wa mambo ya maabara na uliambatisha vyeti vya ujuzi huo nafasi ya kuitwa kwenye usaili ni zaidi ya 70% hata kama umri wako ni zaidi ya waliouainisha jiandae.

Jeshi la sasa limebadirika siyo lile la zamani enzi zile unachukuliwa tu ila sasa hivi unaangaliwa utalifanyia nini Jeshi?

Mliosoma kozi zile za social science endeleeni tu na maisha mengine.
mwanza pale wanaweza pigisha kozi sehem gani mkuu wangu..
 
Kama umeomba nafasi na una ujuzi kama ushonaji au ufundi wa vyombo vya moto,mtaalamu wa mambo ya maabara na uliambatisha vyeti vya ujuzi huo nafasi ya kuitwa kwenye usaili ni zaidi ya 70% hata kama umri wako ni zaidi ya waliouainisha jiandae.

Jeshi la sasa limebadirika siyo lile la zamani enzi zile unachukuliwa tu ila sasa hivi unaangaliwa utalifanyia nini Jeshi?

Mliosoma kozi zile za social science endeleeni tu na maisha mengine.

Hivi huu mwezi unaweza ukapita bila kutoa majina..??
 
Hivi naomba kuuliza kidog...hivi jwtz kwanini hawaajir kwan wao hua hawana uhitaji..??
-maana nashangaa watu wanaenda jkt afu wanarudi kitaa kapa
 
Hivi naomba kuuliza kidog...hivi jwtz kwanini hawaajir kwan wao hua hawana uhitaji..??
-maana nashangaa watu wanaenda jkt afu wanarudi kitaa kapa
JKT haiajiri.JWTZ haiajiri ila lina andikisha Askari.JWTZ mwaka jana wamemaliza kozi vijana,mwaka huu pia wamefanya kozi vijana.
 
Back
Top Bottom