Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Sasa mkuu mi kosa langu lipo wapi?Wewe sio Polisi.Unaonea wivu wenye ufaulu mzuri
em rudia kusoma hilo tangazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu mi kosa langu lipo wapi?Wewe sio Polisi.Unaonea wivu wenye ufaulu mzuri
Unamakosa mengiSasa mkuu mi kosa langu lipo wapi?
em rudia kusoma hilo tangazo
Yaweke hapaUnamakosa mengi
Kuandika .Waliuliza maswali gani? Ilikuwa ya kuandika au oral
Tuma tu.Usiache fursa.Hivi inawezekana kwa wale waliomaliza 2017 kuja juu kutuma tena.??
wanamaanisha wa 2015/16 ambao hata jkt hawajaenda?Kwa vijana mliomaliza 2015 na 16 kidato cha 4 na 6 mmepewa nafasi nanyi kutuma maombi.Mliotuma awali na mmemaliza 15 na 16 na hamkuitwa kwenye usaili tumeni tena pia.View attachment 1935024
Mkuu ccp vijana wanaweza kulipoti lini ningependa kujuaa kama kuna mdau atupe lonja...
Since vipi umeomba na weweMkuu ccp vijana wanaweza kulipoti lini ningependa kujuaa kama kuna mdau atupe lonja...
Yeah mwanangu vp wewSince vipi umeomba na wewe
Mbali sana huko mkuu mwezi ujaoo watu wataanza kuaamshaKuna mdau humu alisema January Et
Mbali sana huko mkuu mwezi ujaoo watu wataanza kuaamsha
Mbona majina ya walioomba kwa taaluma bado mkuu,na hatujui wanatoa
CCP kuna watu wanafanya kozi miezi 3 na wameanza sept hii.Mbali sana huko mkuu mwezi ujaoo watu wataanza kuaamsha
Lazima uwe umepita JKT..wanamaanisha wa 2015/16 ambao hata jkt hawajaenda?
mkuu nawe umeaplai?Waliotuma barua za maombi MM-Dodoma ambao elimu zao ni kuanzia Astashahada,Stashahada,Shahada usaili wao bado.
Dodoma wamefanya usaili wale waliotuma barua kwa RPC ambao ni kidato cha 4 na 6.