Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kitengo Afya

Screenshot_20210923-225719~2.png
 
Hizo lonja zenyewe zinazo tolewa humu ni kisanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie watoto wa mujibu wa sheria mnatabu sanaaa
Mtuvumilie tu maana hata NS tunaenda kwa mujibu wa sheria.

Ila wenyewe wanasema sifa "kubanchi".. tutakomaa hapahapa wote.

Tupeni lonja mamwela
 
Me barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Usaili bado upo hadi sahiv tanga

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tupe na wewe
Luka 3:14
"Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu."

Kwa wale watakaotoboa huko kwa maafande RPC lonja mujarabu hiyo.

Tupeni lonja manjagu
 
Me barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu samahan fungua pm naitaji uelekezi kidogo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
ILA UKWEL NI KWAMBA WATU WASHAANZA KUPIGIWA SIMU WALIOTUMA MAKAO MAKUU . .. SASA HAIJULIKANI WAMEPIGIA WOTE AU NI KWA KADA MOJA TU YA AFYA
Duuh kumbe watu wameishapigiwa simu tayar,, me kada ya afya nilituma makao makuu sijaona kupigiwa simu au ndo hvyo nitakua nimechinjiwa baharin
 
Duuh kumbe watu wameishapigiwa simu tayar,, me kada ya afya nilituma makao makuu sijaona kupigiwa simu au ndo hvyo nitakua nimechinjiwa baharin

Watu walisema humu jana kua kishasanuka ila wakaonekana matapeli [emoji16][emoji16][emoji16]..
 
Watu walisema humu jana kua kishasanuka ila wakaonekana matapeli [emoji16][emoji16][emoji16]..
Me binafsi sijapgiwa simu mkuu,, sasa sijui labda nitakua nimechinjiwa baharin,, sijaona hata missed call aiseh
 
Me binafsi sijapgiwa simu mkuu,, sasa sijui labda nitakua nimechinjiwa baharin,, sijaona hata missed call aiseh

Labda wamepigiwa wailo kidhi vigezo tu,ko kama hujapigiwa simu ikipita leo ujue nafasi umekosa sababu usaili ni JUMATATU kurasini...
 
Labda wamepigiwa wailo kidhi vigezo tu,ko kama hujapigiwa simu ikipita leo ujue nafasi umekosa sababu usaili ni JUMATATU kurasini...
Duuh basi sawa itakua sio bahat yangu maana kama kila kitu niliweka
 
Duuh kumbe watu wameishapigiwa simu tayar,, me kada ya afya nilituma makao makuu sijaona kupigiwa simu au ndo hvyo nitakua nimechinjiwa baharin
Wa afya Wamepigiwa kweli mkuu nadhan wanaambiwa wafike hospital ya polisi kilwa road karibu na jkt mgulani wakiwa na vyeti og, kama itakua ni matapeli Basi watawakusanya wengi Sana, kama Kuna yupo uku ataweza kuelezea kama kweli hospital ya polisi ipo maeneo hayo
 
Back
Top Bottom