future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
Hawa waliotuma juzi makao makuu dodoma badoAweeeh tunaondokaaa..
"Wale wasomi" kazi kwenu, kwenye watu 1k+ haumo?? Au vyeti si vya mama ndali nini?
Hahaha tupeni lonja mapot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa waliotuma juzi makao makuu dodoma badoAweeeh tunaondokaaa..
"Wale wasomi" kazi kwenu, kwenye watu 1k+ haumo?? Au vyeti si vya mama ndali nini?
Hahaha tupeni lonja mapot
Kwa form 4 na 6 mmeambiwa taarifa mnapata kwa maRPC wa mkoa..usaili ndio utafanyika huko na sio makao makuuKwa wale w form 4 na form six Dsm kuna mtu yeyote kapgiwa smu ama kuitwa kwenye usaili?.
Tupeni lonja manjagu
Hahahahah
Bwana weweee..Watu leo wameulizwa kwenye usaili (written),wataje list ya mawaziri wakuu toka uhuru hadi sasa [emoji4][emoji4]
Usaili wa form4$6
Bwana weweee..
Kumbe muhimu kumfahamu mtendaji wa shughuli za kila siku za serikali..
Natural selectionUpige na push-up 50 on~spot [emoji14][emoji14]
Natural selection
Hahahah, hamjafukuza upepo?
HahahahahWalibeba dunia tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hee usaili hadi wa hizi mambo 😂Upige na push-up 50 on~spot [emoji14][emoji14]
Wamewapima afya kwanza ndiyo wawasukumishe ardhi na kubeba dunia? Kwanza kisheria beba dunia ni haramu majeshini.Upige na push-up 50 on~spot [emoji14][emoji14]
Mkoa upi?😂😂Watu leo wameulizwa kwenye usaili (written),wataje list ya mawaziri wakuu toka uhuru hadi sasa [emoji4][emoji4]
Usaili wa form4$6
ingia inbox yako ndugu kuna message nmekutumiaHee usaili hadi wa hizi mambo 😂
Leteni Lonja lonjaWazee wa kitengo fanya fujo uone
Tupeni lonja mapot
Vijana mlioitwa kwenye usaili Karibuni katika ujenzi na ulinzi wa Taifa.Mkuu tupe Lonja mkuu
Leteni Lonja lonjaWazee wa kitengo fanya fujo uone
Tupeni lonja mapot
Asante Sana Mkuu.Tupe Lonja Nyingine za huko Kilwa Road kuanzia jumatatu.Vijana mlioitwa kwenye usaili Karibuni katika ujenzi na ulinzi wa Taifa.
Ushauri mkipata nafasi jiendelezeni kielimu,fuateni sheria,acheni tamaa sasa hivi ufukuzwaji wa kazi katika vyombo vya ulinzi na usalama ni kugusa tu,wanatemwa sana.
Vijana vazi la Askari la kiraia ni tshirt/Jersey/traki msiende kwenye usaili mkiwa mmechomekea suruali ya kitambaa na shati na moka hili vazi waachieni raia wa saili za kiraia.Leteni Lonja lonja
Asante Sana Mkuu.Tupe Lonja Nyingine za huko Kilwa Road kuanzia jumatatu.
Tia chenja kurutiWazee wa kitengo fanya fujo uone
Tupeni lonja mapot