Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Mkuu Mbn uhamiaji na magereza hawajataka watu wenye Cheti cha form6???? Na je! JWtz nao sio kama watapitia mfumo huo wa kutotaka wenye form6???
Mimi nafikir ni sababu ya idadi walioajir kwa upande wao ni ndogo ukilinganisha na polisi....ndio maana hata zimamoto kwa form six wanachukua watu 50 pekee