Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Lonja Lonjaa Wadau thread imepoaa sanaaaaa Sasa hivi ...Au ndio presha inapanda,presha inashukaa wadauuuu wale wa Kilwa Road.?
 
Tunaombeni Wadau kushusha Presha ya PDF humu ndani muwe au muwe mnachat Kidogo kupunguza Preshaaaa😄😄😄😄🤪🤪🤪🙆🙆🙆🙆🙆🙏🙏
 
Intelejensia ya kawaida vijana wachache waliokuwa kwenye huu Uzi ni aidha wamekwama kusonga mbele kwenye ile PDF ya kwanza au wamekata tamaa..

Amkeni wazalendo, msikate tamaa, always next time.
 
Intelejensia ya kawaida vijana wachache waliokuwa kwenye huu Uzi ni aidha wamekwama kusonga mbele kwenye ile PDF ya kwanza au wamekata tamaa..

Amkeni wazalendo, msikate tamaa, always next time.
Mapambano Mpaka Mwishoo...Vijana wanashindwa kuelewa mwanajeshi hatua zote ni mshindiiii au Wanasema imeisha Mpaka hatua ya Mwishoo
 
Intelejensia ya kawaida vijana wachache waliokuwa kwenye huu Uzi ni aidha wamekwama kusonga mbele kwenye ile PDF ya kwanza au wamekata tamaa..

Amkeni wazalendo, msikate tamaa, always next time.
Ila wewe jamaa sio mtu wa kawaida ✋
 
Lonja Lonjaa Wadau thread imepoaa sanaaaaa Sasa hivi ...Au ndio presha inapanda,presha inashukaa wadauuuu wale wa Kilwa Road.?
Tunawazumu tu madogo ,pambaneni sisi ndio tunamaliza ivyo kozi hapa ccp tunawasubilia nyie tu
 
Tunawazumu tu madogo ,pambaneni sisi ndio tunamaliza ivyo kozi hapa ccp tunawasubilia nyie tu
Wasisahau pasi ya mkaa ya kunyoshea nguo.

[emoji38]Hapa ndipo liliponishinda Jeshi la Polisi,TPDF huo muda wa kunyosha nguo unaupata wapi na muda wote unavurugwa kwenye matope,kupigwa nua, una wenge la usingizi hujalala mwezi mzima na wiki mbili na wakati mwingine COau OC wa Kombania akivurugwa mnaendelea na mkesha hadi miezi miwili inatimia watu mpaka akili zinawaruka wanakuwa kama vichaa,mchakamchaka saa 10 usiku kuruta anapotea njia anavamia miti piga kichwa chini.

[emoji38]
 
Wasisahau pasi ya mkaa ya kunyoshea nguo.

[emoji38]Hapa ndipo liliponishinda Jeshi la Polisi,TPDF huo muda wa kunyosha nguo unaupata wapi na muda wote unavurugwa kwenye matope,kupigwa nua, una wenge la usingizi?
HV tpdf nao watatoa mwaka huu kweli
 
Wasisahau pasi ya mkaa ya kunyoshea nguo.

[emoji38]Hapa ndipo liliponishinda Jeshi la Polisi,TPDF huo muda wa kunyosha nguo unaupata wapi na muda wote unavurugwa kwenye matope,kupigwa nua, una wenge la usingizi hujalala mwezi mzima na wiki mbili na wakati mwingine COau OC wa Kombania akivurugwa mnaendelea na mkesha hadi miezi miwili inatimia watu mpaka akili zinawaruka wanakuwa kama vichaa,mchakamchaka saa 10 usiku kuruta anapotea njia anavamia miti piga kichwa chini.

[emoji38]
Mkuu hivi haya mambo ccp tutayakuta kweli tukibahatika kuitwa?kutolala 2 months[emoji3][emoji3]
 
HV tpdf nao watatoa mwaka huu kweli
TPDF halijawahi kuacha kuandikisha Askari hata mwaka mmoja,mwaka jana tu bogi zimepigwa zaidi ya mbili,RTS Kihangaiko bogi 2 na Oljoro 1.

Vyombo vingine havitachukua Askari ila siyo TPDF.

Mpaka sasa nafasi walizopewa Vyombo vya mambo ya ndani kwa TPDF ni bogi moja tu pale Kihangaiko sasa bado Oljoro nao wakipigisha kozi tunaongea habari ya 6000+.
 
Mkuu hivi haya mambo ccp tutayakuta kweli tukibahatika kuitwa?kutolala 2 months[emoji3][emoji3]
CCP mnalala saa 8 usiku mnaamka saa 10 kama sijakosea.

Kozi TPDF ikifunguliwa tu kitanda chako unakisahau rasmi na siyo utani mtatoboa mpaka asubuhi mnajiona hivi hivi mkivurugwa mkachoka sana mnaanza kuimba chenja ndiyo maana jeshini bila chenja mtu unatoroka.
 
TPDF halijawahi kuacha kuandikisha Askari hata mwaka mmoja,mwaka jana tu bogi zimepigwa zaidi ya mbili,RTS Kihangaiko bogi 2 na Oljoro 1.

Vyombo vingine havitachukua Askari ila siyo TPDF.

Mpaka sasa nafasi walizopewa Vyombo vya mambo ya ndani kwa TPDF ni bogi moja tu pale Kihangaiko sasa bado Oljoro nao wakipigisha kozi tunaongea habari ya 6000+.
Duh watukumbuke nasisi form six wenye ufaulu mkubwa polisi wamechukua form4 failure na six walopata 3 na 4 aise hahahaha
 
Back
Top Bottom