Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hivi hizi kama za uhamiaji na zimamoto kama kwa sie ambao hatujapitia jkt kuapply hatujisumbui kweli?
 
Hivi hizi kama za uhamiaji na zimamoto kama kwa sie ambao hatujapitia jkt kuapply hatujisumbui kweli?
Jkt ni kigezo mama, unless they decide otherwise
Wacha tupambane ivyo ivyo,watajua wenyewe mm nina apply,nisije acha alafu nikajilaumu
Yah apply mkuu labda wenyewe ndio wakukate...huwezi jua ya Mungu mengi
 
Afu mbona km choo cha kulipia wanamuandama sana kwan kutoa ronja n tatizo? Duh afu kumbe kuna watu wanawivu wakijinga yn MTU amefanya km Ku predict watu wanakosoa bongo hii
Kuna watu wanapenda vita,sisi wakongwe kwenye haya mambo unakuta una wadau kadha wa kadha sehemu tofauti tofauti sasa fursa kama hivi zinapotoka unajaribu kufukunyua lonja mbili tatu na ukizipata na kwa vyanzo vya kuaminika ndiyo unaviweka hapa na wengine wafaidike kwa namna yoyote ile.

Ndiyo maana juzi UT walivotoa nafasi zile za awali za kidato cha 4 na cheti kuna mdau humu alihoji kama za wenye elimu ya shahada na stashahada itakuaje nikawaambia lonja zilizopo kuna nafasi nyingine za elimu hiyo zitatoka karibuni na kweli zikatoka kesho yake za hao engineers nafasi 5 kwahiyo hapa hatushindani ila tunasaidiana kwa taarifa yoyote ile ilimradi tu inaweza kuwa ya msaada kwa mwingine lakini isiwe ya msaada kwa mtu mwingine pia.

Na lonja wakati mwingine siyo lazima iwe kweli wakati mwingine inaweza kuwa siyo lakini Jeshini umuhimu wa lonja ni mkubwa sana.
 
Hivi wakuu kama sijapita jkt naweza kuchaguliwa kweli ilhali sifa zingine ninazo?,maana mi ni fundi bomba ngazi ya cheti na nmemaliza form four japo nilipata div 2,je naweza kutumia cheti cha form 4 na fani yangu tu tayari au nisipoteze muda tu maana naona
JKT ndo kama sifa mama
 
Wale mlioomba mikoani kwa RPC kama sio pcm, pcb or pgm fanya issue zngne, or uwe maybe na connection nzur, wanajtaj hzo comb tu.
 
Wale mlioomba mikoani kwa RPC kama sio pcm, pcb or pgm fanya issue zngne, or uwe maybe na connection nzur, wanajtaj hzo comb tu.
Daaah Mimi na HKL yangu tulikataliwa mapema tu ht barua hazikupokelewa
 
Hivi wakuu kama sijapita jkt naweza kuchaguliwa kweli ilhali sifa zingine ninazo?,maana mi ni fundi bomba ngazi ya cheti na nmemaliza form four japo nilipata div 2,je naweza kutumia cheti cha form 4 na fani yangu tu tayari au nisipoteze muda tu maana naona
JKT ndo kama sifa mama
Jaribu zari likudondokee ila baadhi ya vigezo muhimu umekosa .jaribu tu mkeka wako
Ya mungu mengi
 
Hivi wakuu kama sijapita jkt naweza kuchaguliwa kweli ilhali sifa zingine ninazo?,maana mi ni fundi bomba ngazi ya cheti na nmemaliza form four japo nilipata div 2,je naweza kutumia cheti cha form 4 na fani yangu tu tayari au nisipoteze muda tu maana naona
JKT ndo kama sifa mama
Sifa jkt mze.... Ila omba pia mn huwez jua mkuu
 
Sifa zoote ninazo height inaleta shida tena napima yaja futi 5.1 badala 5.7 wanayotaka haya mambo n hatari sana[emoji24]mungu afanye wepesi lasivyo
 
Sifa zoote ninazo height inaleta shida tena napima yaja futi 5.1 badala 5.7 wanayotaka haya mambo n hatari sana[emoji24]mungu afanye wepesi lasivyo

Tuma maombi ivoivo...halafu tafuta connection ya uhakika [emoji4][emoji4]
 
Tuma maombi ivoivo...halafu tafuta connection ya uhakika [emoji4][emoji4]
Dah hatar mkuu tatzo hiyo connection ndo shida hasa kwa sisi wenye professional za sayansi unaweza kuta tupo wengi
 
Back
Top Bottom