Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,180
- 2,083
Japo naona ni usanii tumefanyiwanan kakwambia majina yanatumwa makao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo naona ni usanii tumefanyiwanan kakwambia majina yanatumwa makao?
Mabogi yote hayaeleweki had sasaUhamiaji wao wanasemaje kwan
HV tukiacha masihara n kweli hao wakubwa huwa wanapewa nafasi kila MTU kuweka ndugu take? Au VIP hpa mn sisi tusio na marefa ree n tatizoKuna watu wanesha pigwa hukoView attachment 1973725
hamn mzee mkeka wote unasukwa mkoan kule makao makuu wanatuma tu majina yaliyochaguliwaHuku ofisi ya kamanda wa polisi mkoa .tuliambiwa majina yatatumwa huko then mtayapata mtandaoni website ya polisi .
hamna usanii majina yatatoka lazmaJapo naona ni usanii tumefanyiwa
Tushachinjwahamn mzee mkeka wote unasukwa mkoan kule makao makuu wanatuma tu majina yaliyochaguliwa
Form six nafasi zimekuja ngapi kila mkoahamn mzee mkeka wote unasukwa mkoan kule makao makuu wanatuma tu majina yaliyochaguliwa
Idadi iwe kubwa wakiwa watatu kama tetesi tumekwishahamn mzee mkeka wote unasukwa mkoan kule makao makuu wanatuma tu majina yaliyochaguliwa
✔️✔️✔️Unajua, IGP siro alisema kuwa kuna ajira 3200 PT , Lakini waziri wa mambo ya ndani, akasema 1000, hadi muda huu watu wa mkoa hawana lonja yeyote but wako katika hali ya kusubiri that is too bad, pia , magereza wamefanya unfair kabisa , haiwezekani leo ndo iwe deadline ya tangazo then kesho wa tangazo usahili, inamaana kama umetoma maombi normally imekula kwako, na sio EMS
Za ndani kabisa nafasi ziko 4200, Mara ya kwanza zilitolewa 3200 kwa ajili ya PT tu(Hizi alitoa mama moja kwa moja) mara ya pili zikatolewa nyingine na wizara kwa ajili ya majeshi yote yaliyopo chini ya wizara husika mgawanyiko (UT 300+,MT 700+, ZT 200+,PT 1000(constables)), Sasa jumlisha zile 3200 za mama pamoja na hizi buku za wizara utapata majibu..Kwaiyo zitakuwa 4200 ni TPDF au. Acha mihemko bwana mdogo,uliza walio tuma mikoani it's like geresha tu,
Kuna watu washapigwa tayari huko [emoji1787][emoji1787] halafu ukute tapeli hayupo kwenye hayo majeshi ya wizara ya mambo ya ndaniKuna watu wanesha pigwa hukoView attachment 1973725
Daah mkuu polisi mpka leo tu bado hamjatumiwa majinaHuku ofisi ya kamanda wa polisi mkoa .tuliambiwa majina yatatumwa huko then mtayapata mtandaoni website ya polisi .
idadi si niliona ni 173 tz nzima kwa pcm,pcb na pgmForm six nafasi zimekuja ngapi kila mkoa
PT watatoa muda si mrefu tu.Kikubwa SubiraDaah mkuu polisi mpka leo tu bado hamjatumiwa majina
Sasa sisi wa fire na uhamiaji si itakuwa mwakani sasa maana hata kujibiwa maombi kama wamekubali bado
Mbona wanachelewesha sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
PT watatoa muda si mrefu tu.Kikubwa SubiraDaah mkuu polisi mpka leo tu bado hamjatumiwa majina
Sasa sisi wa fire na uhamiaji si itakuwa mwakani sasa maana hata kujibiwa maombi kama wamekubali bado
Mbona wanachelewesha sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app