Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hivi wale 1000 wa nyongeza waliitwa kwenye usaili ?
20211015_055433.jpg
 
Live nimeyaona sitojaribu AJIRA yoyote ile hata nishkiwe bunduki kma sina connection ya uhakika [emoji18]
Brother nikufundishe kitu ndugu yako, connection ni kuitafuta
Husikate tamaa ndugu yangu,mm na wewe tupo pamoja
Wote watoto wa wakulima(no connection)
Ila ukitafuta connection unapata.
Tukaze buti brother vita ndio kwanza inaanza
Every finish line is the beginning of new race
 
Brother nikufundishe kitu ndugu yako, connection ni kuitafuta
Husikate tamaa ndugu yangu,mm na wewe tupo pamoja
Wote watoto wa wakulima(no connection)
Ila ukitafuta connection unapata.
Tukaze buti brother vita ndio kwanza inaanza
Every finish line is the beginning of new race
Asante kwa kunipa moyo ..[emoji120]
 
Nimeamka asubuhi akili imechoka mwili umechoka nimeenda home bimkubwa bado hayupo sawa naye anaonekana ana mawazo kuliko mie .. at least mtaani ningekuwa ramani imetulia angekuwa na amani naye ameshachoka kuona kijana wake nahangaika Sana bila mafanikio.sema kila kitu rizk naamini kama ingalikuwa yangu ingekuja tu ..mungu ataendelea kuwa mungu sitochoka kupambana hata nisipo ajiriwa basi mungu atafungua huku huku miitaani ..tusikate tamaa ndungu mafanikio yana Siri kubwa mojawapo ni uvumilivu ama subra . Wakati wetu utafika kwa siye tulokosa mungu yupo hakuna kukata tamaa.[emoji120]
 
Nimeamka asubuhi akili imechoka mwili umechoka nimeenda home bimkubwa bado hayupo sawa naye anaonekana ana mawazo kuliko mie .. at least mtaani ningekuwa ramani imetulia angekuwa na amani naye ameshachoka kuona kijana wake nahangaika Sana bila mafanikio.sema kila kitu rizk naamini kama ingalikuwa yangu ingekuja tu ..mungu ataendelea kuwa mungu sitochoka kupambana hata nisipo ajiriwa basi mungu atafungua huku huku miitaani ..tusikate tamaa ndungu mafanikio yana Siri kubwa mojawapo ni uvumilivu ama subra . Wakati wetu utafika kwa siye tulokosa mungu yupo hakuna kukata tamaa.[emoji120]
[emoji1491][emoji1491][emoji1491][emoji1491][emoji1491]
 
Wanatoaga kivikundi hizo hela nadhan ingekuwa alone ningeomba . NB.sihitaji mkopo wa kuheka rehani nyumba wala kiwanja
Hauwek lehan chchte,unaweza unda kuni hewa brother,mjini wanafanya ivyo

Au andika business plan vizuri then wasilisha kwa mbunge wako,mkurugenzi hao watu ukitaka kuwaona utawaona
Hatua moja upelekea nyingine

Lakini zimamoto uliapply?
 
Nilikuwa nikiomba kila siku bi mkubwa wangu amefadhaika Sana kuliko hata mie mpaka najuta kwanini nimemwambia[emoji21]
Duuu kaka yn wew acha tu yn sometimes inabidi ufanye application tu bila kuwashirikisha hawa wazee maana mwisho wa siku wanakuja kufadhaika kuliko ata wew mwenyew .. ..
 
Niki mkumbuka kikwete, naona jamaa alikuwa muungwana sana

Tatzo la ajira serekalin limeanza kipindi cha magu 2016


Tanzania hakuna afadhali, sio sector binafsi wala serekali.

Kinacho uma zaid mtu unapambana kuwa wa tofaut lakin tunaangushwa, yaani ndo nchi pekee ambayo kigezo cha kufeli ndo unapata kazi.
 
Niki mkumbuka kikwete, naona jamaa alikuwa muungwana sana

Tatzo la ajira serekalin limeanza kipindi cha magu 2016


Tanzania hakuna afadhali, sio sector binafsi wala serekali.

Kinacho uma zaid mtu unapambana kuwa wa tofaut lakin tunaangushwa, yaani ndo nchi pekee ambayo kigezo cha kufeli ndo unapata kazi.
Hahahahah

Kwahiyo we unatakaje kaka?

We so umefauluuu? Subiri ajira za waliofaulu Kama wewe zitatoka tuu..

We umewah kusikia Hosp wanahitaji dokta kigezo uwe na 4? Au umewah kusikia anaajiliwa muhasibu ambaye ana ziro?... Hao wote wanaajiliwa baada ya kufaulu (KAMA WEWE), hivyo Kama ulifaulu subiri ajira za waliofaulu.

Ajira zilizotoka kwenye vyombo vya ulinzi na usalama zilikuwa na Masharti na Vigezo vyake.. na hapo Kuna Wasomi (WALIOFAULU) wamelamba dumeee... Kama sio mmoja wao Shona tulia KUILAMU SANA SERIKALI HAKULETI AJIRA.

Njoo kibiti tulime.. ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom