Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nimeamka asubuhi akili imechoka mwili umechoka nimeenda home bimkubwa bado hayupo sawa naye anaonekana ana mawazo kuliko mie .. at least mtaani ningekuwa ramani imetulia angekuwa na amani naye ameshachoka kuona kijana wake nahangaika Sana bila mafanikio.sema kila kitu rizk naamini kama ingalikuwa yangu ingekuja tu ..mungu ataendelea kuwa mungu sitochoka kupambana hata nisipo ajiriwa basi mungu atafungua huku huku miitaani ..tusikate tamaa ndungu mafanikio yana Siri kubwa mojawapo ni uvumilivu ama subra . Wakati wetu utafika kwa siye tulokosa mungu yupo hakuna kukata tamaa.[emoji120]
Chill its not over...Mungu ndo anapanga uwe wapi kaa kwenye line tu
 
Izi mambo bn jamaa mlokua mnadoji nae wanalamba mkeka afu ww unakosa ..
Sema subira muhimu wazee no retreat no surrender

Hatuwezi wote tukapata sehemu moja,,,,kwahio miongoni mwetu watapata MT,ZT,UT ......ko tuzid kuwa wavumilivu wengine pengine rizk yao ipo Tpdf pia.
 
Nimeamka asubuhi akili imechoka mwili umechoka nimeenda home bimkubwa bado hayupo sawa naye anaonekana ana mawazo kuliko mie .. at least mtaani ningekuwa ramani imetulia angekuwa na amani naye ameshachoka kuona kijana wake nahangaika Sana bila mafanikio.sema kila kitu rizk naamini kama ingalikuwa yangu ingekuja tu ..mungu ataendelea kuwa mungu sitochoka kupambana hata nisipo ajiriwa basi mungu atafungua huku huku miitaani ..tusikate tamaa ndungu mafanikio yana Siri kubwa mojawapo ni uvumilivu ama subra . Wakati wetu utafika kwa siye tulokosa mungu yupo hakuna kukata tamaa.[emoji120]
Si uli apply haya majeshi mengine mkuu ?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom