Aellyangel
Member
- Aug 6, 2020
- 28
- 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa madili [emoji3]Scale za shahada haiko ulivyo Sema, Wizara ya mambo ya ndani kuanzia intake zote za 2020 nakuendelea walifanya maboresho mtu mwenye shahada atalipwa mshahara kama scale ya degree inavyolipwa serikalini so kama n shahada ya MD watakulipa scale wanayolipwa MD wanapo anza kazi kama n mtu wa IT, sheria utalipwa ile scale ya serikali ambayo n scale TGS E then ndo posho zitafuata so utakuwa umewapiga wenzio wa serikalin ambao kuipata posho hadi itokee
Hapo bado Polisi Kuna vimadili visivyo.rasmi mtaani nazani vinajulikana[emoji2]
TGE ni 1MScale za shahada haiko ulivyo Sema, Wizara ya mambo ya ndani kuanzia intake zote za 2020 nakuendelea walifanya maboresho mtu mwenye shahada atalipwa mshahara kama scale ya degree inavyolipwa serikalini so kama n shahada ya MD watakulipa scale wanayolipwa MD wanapo anza kazi kama n mtu wa IT, sheria utalipwa ile scale ya serikali ambayo n scale TGS E then ndo posho zitafuata so utakuwa umewapiga wenzio wa serikalin ambao kuipata posho hadi itokee
Hapo bado Polisi Kuna vimadili visivyo.rasmi mtaani nazani vinajulikana[emoji2]
Tuma maombi mkuu. Vigezo unavyo?Yan nataman nipate kazi Ila sijui nifanye nn
Inategemea na wanahitaji kuona nini. Mfano watu wa Diploma ya IT mnaweza kuomba 20, Wakasema tuchague mwenye GPA kubwa au Aliyefaulu kozi fulani fulani mfano Programming na Networking, au Maintanence na Networking. Je watajuaje wewe una GPA gani bila Transcript?Naomba mnijuze mwenye ufahamu kwa aliyefika chuo cha kuambatanisha ni cheti tu au na transcript nayo pia unaweka na leaving certificate km unayo moja tu vip yaan km unayo ya advance tu vip itafaa au lazima uwe nazo zote mbili
Kaka Bora umesema wewe,siye tupo kitambo sana tunazipambania toka natumia ile ID yangu ya Gpilivijana nashauri tumeni maombi kwa umakini. pia omba mungu asaidie .tatu tafuta waku kukushika mkono otherwise hzi nafasi zimejaa ambao tumeanza kuzipambania kitambo tunafahamu uchungu wa kukosa tangu post za pccb,immigration nk kifupi tu idara za ulinzi na majeshi pasipo connection kutoboa uwe na bahati yako sana,nawasilisha.
sio poa kaka nchi kubwa hii.mambo sio rahisi kihivyoKaka Bora umesema wewe,siye tupo kitambo sana tunazipambania toka natumia ile ID yangu ya Gpili
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
Acha waanzilishi wa Uzi huu yaani Tuishi na Mungu Tu kakaKaka Bora umesema wewe,siye tupo kitambo sana tunazipambania toka natumia ile ID yangu ya Gpili
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
Bro peleka maombi....usifikirie hili wala lile. Inaweza kuwa bahati yakoHivi kama pale kwenye zile kozi walizotaja wanataka mtu mwenye diploma na wewe una degree, haiwezi kutokea bahati ya mtende au nikate tamaa tu nipotezee.
Nyie watu wa IT kuna practical ya mambo yenu hayo...ukisanua unapita mambo mengine kama hiyo sector hayahitaj GPA ya kwenye cheti ila maujanja yako na computerInategemea na wanahitaji kuona nini. Mfano watu wa Diploma ya IT mnaweza kuomba 20, Wakasema tuchague mwenye GPA kubwa au Aliyefaulu kozi fulani fulani mfano Programming na Networking, au Maintanence na Networking. Je watajuaje wewe una GPA gani bila Transcript?
Ushauri:
Ambatanisha vyote tu na ndio vinavyotambulika kama VYETI VYA TAALUMA.
Usaili ulifanyika mkuuHapakua hata na Usaili Mkuu..Majina yalitoka Moja kwa Moja?....